Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Ko baad ya kuacha kutumia fb umekuaa tajir kumzid mo au kumzid bilget au ronaldo ambao wanautumia wabongo mna utindio wa ubongo kufata mkumbo baad ya kujiona kama mmevuka hatua kuacha kutumia pumba tu mamaee
Mbona makasiriko blaza?
 
FACEBOOK ndio SOCIAL MEDIA inayoongoza na yenye kila aina ya maarifa katika nyanja zote unazozifahamu wewe
mtu mwenye akili timamu na mwenye KIU ya MAFANIKIO katika nyanja mbalimbali hawezi kukosa kuwa na APP ya facebook yenye kila kitu unachohitaji katika REALITY kabisa na vile iko CONNECTED na REELS VIDEO MARKETPLACE PAGE to FOLLOW GROUP TO JOIN imefanya izidi kuwa bora isiyochosha kwa kupata kila unachoitaji kwa msingi wa kuchagua ni aina gani ya matilio unapendelea

Ninatumia kila siku zaidi Facebook lakini sijapost katika WALL yangu tangu 2017 nimeanza kutumia FACEBOOK tangu 2009
Upo vizuri, hongera mkuu.
 
Kuna watu wanajifanya wajuaji kumbe empty set ,nilikuwa naangalia Youtube kipindi cha SNS cha Fredrick Bundala alikuwa anamuhoji Bwana Mdogo mfanyabiashara mkubwa sana Kibada wa Vifaa vya ujenzi ,huyo Dogo anasema kilichomtajirisha ni kwamba aliweka Tangazo lake la Facebook kuhusu kufundisha kutengeneza Incubator na alipata wateja na ndiyo alipopata msingi wa kuanzisha biashara yake ya Vifaa vya ujenzi/Decor/Aliminium/Finishing.

Wao wanadhani facebook/instagram ni kwa ajili ya kuuza sura na kuonyesha makalio ,watu wanatumia kibiashara na wanapiga pesa ,na pia alisema baada ya video aliyopost KITALE alipokuwa anamtengenezea madirisha ya aluminium nayo ilimpatia wateja wengi baada ya kusambaa kwenye facebook/instagram/youtube.
Wabongo mashauzi kama Jamila halafu hapo ana Tecno ya mkopo ya Tigo hana mbele wala nyuma.

Na alalaye usiamuamshe waachie waendelee kuchapa usingizi tu.

Huyo Max anayewapa platform hapa ni active member wa Facebook.
 
Bado kuna watu wanatumia fesibuku?
Boss wako wa JF tuko naye Facebook na ni active Member.

Tanzania kuna machizi wengi wasiojuwa kama Wana tatizo la afya ya akili.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-03-05-20-49-17-60.png
    Screenshot_2024-03-05-20-49-17-60.png
    491.4 KB · Views: 2
Mtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login

Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekataa
Ndio maana hadi nika unstall halafu kuinstall ikawa shida mpaka sasa
 
Hakuna makasiriko ujinga tu kichwani na wengi vichwa maji ndo wanakuwag na mawazo ya kuona wengine wajinga au washamba
Binafsi sijaona mtu kuwa ni mjinga au mshamba kutumia huo mtandao.
 
IDF haijawahi kudeal na houth hao jamaa ni attention seekers

Anyway huu utandawazi watu wanahamia kwenye satellite wao wanapambana baharini. Ukimpiga teke chura unamuongezea mwendo,mlango mmoja ukifungwa mwingine utafungua,fb na insta itapatika solution ya kudumu bila kuwajali hao wagonjwa houth

JF ikitunguliwa utakosa pa kuropokea mkuu,usikate tawi ulilikalia
Mikongo ya fiber optics inayopita baharini inachukua asilimia zaidi ya 80 ya mawasilaino ya intaneti na ndiyo yenye kasi zaidi kuliko ya satelite.
 
Technology inakua mkuu,usiendelee kukariri
Mikongo ya fiber optics inayopita baharini inachukua asilimia zaidi ya 80 ya mawasilaino ya intaneti na ndiyo yenye kasi zaidi kuliko ya satelite.
 
Uislamu ni laana, muislamu yeyote yule amelaaniwa
 
Back
Top Bottom