machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Wamerudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona makasiriko blaza?Ko baad ya kuacha kutumia fb umekuaa tajir kumzid mo au kumzid bilget au ronaldo ambao wanautumia wabongo mna utindio wa ubongo kufata mkumbo baad ya kujiona kama mmevuka hatua kuacha kutumia pumba tu mamaee
Sikujua ilo.kwanini usiwepo wakati ndo' unaongoza kuwa na wafuasi wengi duniani.
Sawa mkuu.Ndio upo, na unaingiza hela kuliko nchi yako
Upo vizuri, hongera mkuu.FACEBOOK ndio SOCIAL MEDIA inayoongoza na yenye kila aina ya maarifa katika nyanja zote unazozifahamu wewe
mtu mwenye akili timamu na mwenye KIU ya MAFANIKIO katika nyanja mbalimbali hawezi kukosa kuwa na APP ya facebook yenye kila kitu unachohitaji katika REALITY kabisa na vile iko CONNECTED na REELS VIDEO MARKETPLACE PAGE to FOLLOW GROUP TO JOIN imefanya izidi kuwa bora isiyochosha kwa kupata kila unachoitaji kwa msingi wa kuchagua ni aina gani ya matilio unapendelea
Ninatumia kila siku zaidi Facebook lakini sijapost katika WALL yangu tangu 2017 nimeanza kutumia FACEBOOK tangu 2009
Kwa sababu huna akili, wewe na Bill Gates Nani Great thinker?Great thinker kama wewe unapata wapi ujasiri wa ku log in facebook?, unafanya hivyo ili upate nini cha kipekee huko. Sisi wengine tuliishasahau username na password za fb,huko hakuna kitu
Wabongo mashauzi kama Jamila halafu hapo ana Tecno ya mkopo ya Tigo hana mbele wala nyuma.Kuna watu wanajifanya wajuaji kumbe empty set ,nilikuwa naangalia Youtube kipindi cha SNS cha Fredrick Bundala alikuwa anamuhoji Bwana Mdogo mfanyabiashara mkubwa sana Kibada wa Vifaa vya ujenzi ,huyo Dogo anasema kilichomtajirisha ni kwamba aliweka Tangazo lake la Facebook kuhusu kufundisha kutengeneza Incubator na alipata wateja na ndiyo alipopata msingi wa kuanzisha biashara yake ya Vifaa vya ujenzi/Decor/Aliminium/Finishing.
Wao wanadhani facebook/instagram ni kwa ajili ya kuuza sura na kuonyesha makalio ,watu wanatumia kibiashara na wanapiga pesa ,na pia alisema baada ya video aliyopost KITALE alipokuwa anamtengenezea madirisha ya aluminium nayo ilimpatia wateja wengi baada ya kusambaa kwenye facebook/instagram/youtube.
Hakuna makasiriko ujinga tu kichwani na wengi vichwa maji ndo wanakuwag na mawazo ya kuona wengine wajinga au washambaMbona makasiriko blaza?
Boss wako wa JF tuko naye Facebook na ni active Member.Bado kuna watu wanatumia fesibuku?
Ndio maana hadi nika unstall halafu kuinstall ikawa shida mpaka sasaMtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login
Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekataa
Binafsi sijaona mtu kuwa ni mjinga au mshamba kutumia huo mtandao.Hakuna makasiriko ujinga tu kichwani na wengi vichwa maji ndo wanakuwag na mawazo ya kuona wengine wajinga au washamba
Kwan kilitokea nini? kuna tangazo rasmi?Baada ya kushindwa kufanya kazi kwa Takriban zaidi ya saa, sasa mitandao hii miwili ya FB na IG yarejea hewani
Mikongo ya fiber optics inayopita baharini inachukua asilimia zaidi ya 80 ya mawasilaino ya intaneti na ndiyo yenye kasi zaidi kuliko ya satelite.IDF haijawahi kudeal na houth hao jamaa ni attention seekers
Anyway huu utandawazi watu wanahamia kwenye satellite wao wanapambana baharini. Ukimpiga teke chura unamuongezea mwendo,mlango mmoja ukifungwa mwingine utafungua,fb na insta itapatika solution ya kudumu bila kuwajali hao wagonjwa houth
JF ikitunguliwa utakosa pa kuropokea mkuu,usikate tawi ulilikalia
Mikongo ya fiber optics inayopita baharini inachukua asilimia zaidi ya 80 ya mawasilaino ya intaneti na ndiyo yenye kasi zaidi kuliko ya satelite.
Satelite zinajulikana zamani lakini ilionekana fiber optics ndizo zenye ufanisi zaidi kuliko hizo.Technology inakua mkuu,usiendelee kukariri
Satelite zinajulikana zamani lakini ilionekana fiber optics ndizo zenye ufanisi zaidi kuliko hizo.
Hebu nipe Somo vizuri hapaSiyo Facebook Tu, acheni kufunguwa link msizozijuwa na check settings zako tags zote mpaka uruhusu wewe kupublish kwenye wall yako.
Yani account zenu mmeziacha uchi Bila ulinzi wowote.
Du🤣Yale mapicha Kuna ma hackers wanakutumia yakiambatana na link ukigusa tu unaingia kwenye mfumo wao