Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
😂😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta helaKuna nn kinaendelea mda huu, Maana kila mtu ananiulizia facebook yake na instagram inagoma ku login,
phd gani ulonayo hakuna msomi mweny akili timamu akazarau sehem ilomtoa ukiona huyu ujue hata utindio wa ubongo washamba kama nyie mkipata elfu kumi mnazarau buku na wanaongoz kwa kashifa za kipumbavu ni masikin wanaojiita masikini jeuli hakuna masikin jeur hapa dunian ni ujinga kama ulonaoKweli ndio maana yuko fb wenzake PhD holders tuko nao social media za maana sio fb
Mimi Mufti kuku The Infinity nilijua wahuni washacheza (Hack) na account yangu 😂😂Lamomy mtandao wetu wa facebook umepigwa na kitu kizito hadi umezimika.
Jamaniii, asa itakuwajeeee uwiiiiiiiiiihhhhhhh
Injinia toa mwongozo Mufti kuku The Infinity
Namzungumzia Dr Matola PhDphd gani ulonayo hakuna msomi mweny akili timamu akazarau sehem ilomtoa ukiona huyu ujue hata utindio wa ubongo washamba kama nyie mkipata elfu kumi mnazarau buku na wanaongoz kwa kashifa za kipumbavu ni masikin wanaojiita masikini jeuli hakuna masikin jeur hapa dunian ni ujinga kama ulonao
Hata Instagram piaMtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login
Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekataa
Wewe ndiyo mshamba namba moja.Mwanamume rijali hatumii snapchat wala IG
FB imebaki kwa washamba
Wameshajua zilipo hizo waya.Safi sana Houth. Endeleeni kukinukisha.
Dunia ina mengi yaani kutumia Facebook tena ni ushambaWewe ndiyo mshamba namba moja.