Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado una utoto sanaNi ushamba sana kutumia facebook
Chrome web browser ni mtandao, sijaongelea mitandao ya kijamii pekee, by the way mimi huwa natumia google kupitia chrome ndio maana nikaitaja chromeKwani chrome ni Mtandao wa kijamii
Kama unawaona wapuuzi basi zungumza na IDF wawasikilize madai yao kabla na JF nayo haijafifia.Wapuuzi sana hao magaidi
MKuu nimependa sana jibuChrome web browser ni mtandao, sijaongelea mitandao ya kijamii pekee, by the way mimi huwa natumia google kupitia chrome ndio maana nikaitaja chrome
🤣Yale mapicha Kuna ma hackers wanakutumia yakiambatana na link ukigusa tu unaingia kwenye mfumo waoIla huu mtandao nimeshindwa kuuelewa na umenitia aibu Sana wiki hii, naambiwa tu na marafiki fb kinapicha za ajabu umezi tag,,, yaan nashindwa kuelewa huu mtandao
Hata mm amenishtua sana,kumbe fesibuku bado inatumika?Sasa mambo ya Facebook unakuja kulalamika huku Jamiiforums kwamba moderators wakakusaidie kufix tatizo au?
Nasikia wewe ndio yule mzee wa watoto wameshalala [emoji16]Safi sana sisi wadau wa x Twitter ni furaha sana kwetu
[emoji28][emoji28][emoji28]Nilijua kuna mtu amehack Account yangu.
Hivi ndivyo itakavyokuwa siku ya kuja kwake mwana wa Adam,, kila kitu kitakwama kufumba na kufumbua.
Kama unawaona wapuuzi basi zungumza na IDF wawasikilize madai yao kabla na JF nayo haijafifia.
Ikiwa makombora yenye vifaa vya kuyatungua vimeshindwa kuyazuia.Sijui ni nani atakayeweza kuzilinda hizo nyaya zinazokwenda chini kwa chini kwa maelfu ya kilomita.
Facebook kuna hela nyingi sana.
Watafutaji watanielewa kwa hili,usiidharau kamwee.
Umetisha babu😂Nikajua nimehakiwa........ Nikajiuliza tena Kwa lipi nihakuwe Mimi muuza gongo?
Hawa majamaa ni mashujaa balaaWameshajua zilipo hizo waya.
Sijui itakuwaje kama wakirudi kumalizia kazi ya kukata zote 15
😂🤣🤣HapanaNasikia wewe ndio yule mzee wa watoto wameshalala [emoji16]
Siyo Facebook Tu, acheni kufunguwa link msizozijuwa na check settings zako tags zote mpaka uruhusu wewe kupublish kwenye wall yako.Ila huu mtandao nimeshindwa kuuelewa na umenitia aibu Sana wiki hii, naambiwa tu na marafiki fb kinapicha za ajabu umezi tag,,, yaan nashindwa kuelewa huu mtandao
Unachelewa mwanetuWewe ndiyo mshamba namba moja.
Ukweli ndio huoBado una utoto sana