Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Wapuuzi sana hao magaidi
Kama unawaona wapuuzi basi zungumza na IDF wawasikilize madai yao kabla na JF nayo haijafifia.
Ikiwa makombora yenye vifaa vya kuyatungua vimeshindwa kuyazuia.Sijui ni nani atakayeweza kuzilinda hizo nyaya zinazokwenda chini kwa chini kwa maelfu ya kilomita.
 
Ila huu mtandao nimeshindwa kuuelewa na umenitia aibu Sana wiki hii, naambiwa tu na marafiki fb kinapicha za ajabu umezi tag,,, yaan nashindwa kuelewa huu mtandao
🤣Yale mapicha Kuna ma hackers wanakutumia yakiambatana na link ukigusa tu unaingia kwenye mfumo wao
 
IDF haijawahi kudeal na houth hao jamaa ni attention seekers

Anyway huu utandawazi watu wanahamia kwenye satellite wao wanapambana baharini. Ukimpiga teke chura unamuongezea mwendo,mlango mmoja ukifungwa mwingine utafungua,fb na insta itapatikana solution ya kudumu bila kuwajali hao wagonjwa houth

JF ikitunguliwa utakosa pa kuropokea mkuu,usikate tawi ulilikalia
Kama unawaona wapuuzi basi zungumza na IDF wawasikilize madai yao kabla na JF nayo haijafifia.
Ikiwa makombora yenye vifaa vya kuyatungua vimeshindwa kuyazuia.Sijui ni nani atakayeweza kuzilinda hizo nyaya zinazokwenda chini kwa chini kwa maelfu ya kilomita.
 
Facebook kuna hela nyingi sana.

Watafutaji watanielewa kwa hili,usiidharau kamwee.

Kuna watu wanajifanya wajuaji kumbe empty set ,nilikuwa naangalia Youtube kipindi cha SNS cha Fredrick Bundala alikuwa anamuhoji Bwana Mdogo mfanyabiashara mkubwa sana Kibada wa Vifaa vya ujenzi ,huyo Dogo anasema kilichomtajirisha ni kwamba aliweka Tangazo lake la Facebook kuhusu kufundisha kutengeneza Incubator na alipata wateja na ndiyo alipopata msingi wa kuanzisha biashara yake ya Vifaa vya ujenzi/Decor/Aliminium/Finishing.

Wao wanadhani facebook/instagram ni kwa ajili ya kuuza sura na kuonyesha makalio ,watu wanatumia kibiashara na wanapiga pesa ,na pia alisema baada ya video aliyopost KITALE alipokuwa anamtengenezea madirisha ya aluminium nayo ilimpatia wateja wengi baada ya kusambaa kwenye facebook/instagram/youtube.
 
Great thinker kama wewe unapata wapi ujasiri wa ku log in facebook?, unafanya hivyo ili upate nini cha kipekee huko. Sisi wengine tuliishasahau username na password za fb,huko hakuna kitu
 
Ila huu mtandao nimeshindwa kuuelewa na umenitia aibu Sana wiki hii, naambiwa tu na marafiki fb kinapicha za ajabu umezi tag,,, yaan nashindwa kuelewa huu mtandao
Siyo Facebook Tu, acheni kufunguwa link msizozijuwa na check settings zako tags zote mpaka uruhusu wewe kupublish kwenye wall yako.

Yani account zenu mmeziacha uchi Bila ulinzi wowote.
 
Back
Top Bottom