Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kina naniFuraha yako nini sasa? Maana hata hao walio Facebook wapo pia X
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina naniFuraha yako nini sasa? Maana hata hao walio Facebook wapo pia X
You're better than this.Sasa mambo ya Facebook unakuja kulalamika huku Jamiiforums kwamba moderators wakakusaidie kufix tatizo au?
Ni ushamba sana kutumia facebookTatizo liko wapi Mzee
Unajikuta mwenyeweBado kuna watu wanatumia facebook?
Inashangaza sana
Kama wewe ni mzururaji tu huña biashara yoyote huwezi kujuwa Facebook ni nini?Bado uko Facebook?
Tatizo la Facebook unakuja kulalamika Jamiiforums?Ndio maana nikakwambia kapimwe Akili braza, maana umeshindwa hata kupambanaua jambo dogo kama hili uenda ukawa na sonona, ukichaa au utindio wa ubongo kwa kimombo tunasema Cerebral Palsy
Ushamba wake ni nini uko kwenye angle ipiNi ushamba sana kutumia facebook
JF ipo Facebook tutusa wewe, wewe na Maxence Melo nani mwenye akili?Bado uko Facebook?
Hivi kabisa unakaa unatumia fb ni ulimbukeni kmmmkUshamba wake ni nini uko kwenye angle ipi
NAKAZIAHuwa namdharau sana mtu anayetumia Facebook.
Wqtu wanajifanya usipotumiq Facebook ndio ujanjaKwamba sitakiwi kuwepo facebook?
Anza kumdharau Bill gates Kwanza.Huwa namdharau sana mtu anayetumia Facebook.