Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Ko baad ya kuacha kutumia fb umekuaa tajir kumzid mo au kumzid bilget au ronaldo ambao wanautumia wabongo mna utindio wa ubongo kufata mkumbo baad ya kujiona kama mmevuka hatua kuacha kutumia pumba tu mamaee
Mbona makasiriko blaza?
 
Upo vizuri, hongera mkuu.
 
Wabongo mashauzi kama Jamila halafu hapo ana Tecno ya mkopo ya Tigo hana mbele wala nyuma.

Na alalaye usiamuamshe waachie waendelee kuchapa usingizi tu.

Huyo Max anayewapa platform hapa ni active member wa Facebook.
 
Bado kuna watu wanatumia fesibuku?
Boss wako wa JF tuko naye Facebook na ni active Member.

Tanzania kuna machizi wengi wasiojuwa kama Wana tatizo la afya ya akili.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-03-05-20-49-17-60.png
    491.4 KB · Views: 2
Mtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login

Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekataa
Ndio maana hadi nika unstall halafu kuinstall ikawa shida mpaka sasa
 
Hakuna makasiriko ujinga tu kichwani na wengi vichwa maji ndo wanakuwag na mawazo ya kuona wengine wajinga au washamba
Binafsi sijaona mtu kuwa ni mjinga au mshamba kutumia huo mtandao.
 
Waungwana tulisha achana na Mtandao huo, tumeachia watoto na wajukuu....
 
Mikongo ya fiber optics inayopita baharini inachukua asilimia zaidi ya 80 ya mawasilaino ya intaneti na ndiyo yenye kasi zaidi kuliko ya satelite.
 
Technology inakua mkuu,usiendelee kukariri
Mikongo ya fiber optics inayopita baharini inachukua asilimia zaidi ya 80 ya mawasilaino ya intaneti na ndiyo yenye kasi zaidi kuliko ya satelite.
 
Siyo Facebook Tu, acheni kufunguwa link msizozijuwa na check settings zako tags zote mpaka uruhusu wewe kupublish kwenye wall yako.

Yani account zenu mmeziacha uchi Bila ulinzi wowote.
Hebu nipe Somo vizuri hapa
 
Uislamu ni laana, muislamu yeyote yule amelaaniwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…