Mtandao wa Quora unawezekana ukawa sababu ya wakristo wengi wa Ulaya kusilimu na kuwa Waislamu

Kazi yangu ni kukuonesha uislamu utarudi pangoni kama nyoka na uta shrinks
“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
 
Sipo tayari kupoteza muda kubishana na wewe, mimi nimeleta taarifa iliyohakikiwa nimemaliza. Kama unazani ni utani watume ndugu zako waislam waende Italy kama wahamiaji watakupa mrejesho kamili.
Hakuna uhusiano wa akili na imani. Na kwa taarifa yako akili yako ni ndogo saana kuelewa mambo ya imani haswa ya kikristo.
Ni sawa na kipofu kukubishia kuwa hakuna rangi nyekundu kwa kuwa hukumuelewesha rangi nyekundu inafananaje.
Mungu ana mtoto ambaye ni Yesu Kristo. Alimpataje ndio hayo ya kujaribu kumfundisha kipofu rangi nyekundu inafananaje.
Waislam wanasema koran ilishuka kutoka mbinguni.
Hakuna anayewabishia kutaka ushahidi. Tunaishia kusema SAWA.
Tukitaka proof tutaishia kugombana tu.
 
Zanzibar waislamu wako 99% mbona wanatinduana marinda sana tu. Waelimishe ulio nao kuacha dhambi na sio kufurahia wengine kuongeza idadi
 
Kingine cha kuongezea, wazungu wako so curious kujifunza. Asilimia kubwa ya hawa watu “smiles” zao haziko genuine. Be smart kuwaelewa.
 
Logical non sequitur.

Unajua hoja yako inaeleza kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo kuliko inavyoeleza Mungu huyo yupo?

Unaelewa hilo au unahitaji nikufafanulie?
 
Sijapanga kukuthibitishia. Mimi ninaamini na nimethibitisha kwamba Mungu yupo na roho ipo, hilo linanitosha.
Unaruhusiwa kuamini uongo wowote unaotaka, na huwezi kuthibitisha uongo huo ni ukweli, ndiyo maana unajificha katika kichaka cha "sijapanga kukuthibitishia".
 
Unaruhusiwa kuamini uongo wowote unaotaka, na huwezi kuthibitisha uongo huo ni ukweli, ndiyo maana unajificha katika kichaka cha "sijapanga kukuthibitishia".
Mkuu mimi imani inanitosha kabisa. Na nilipoamini pia nilielewa kwa ufasaha mkubwa.
 
Logical non sequitur.

Unajua hoja yako inaeleza kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo kuliko inavyoeleza Mungu huyo yupo?

Unaelewa hilo au unahitaji nikufafanulie?
Umeolewa ndugu..au uko vague!!?..hueleweki
 
Mkuu mimi imani inanitosha kabisa. Na nilipoamini pia nilielewa kwa ufasaha mkubwa.
Kwani huo ndio mjadala?

Kwani wapi mimi nimekataa na kusema imani haikutoshi?

Kwani imani ya uongo haiwezi kukutosha?
 
Unazungumzia mjadala gani?
Nakwambia hivi, in point form.

1. Unaruhusiwa kuamini chochote unachotaka, hii ni haki yako ya kuamini, haina mjadala. Mpaka kwenye Universal Declaration of Human Rights ipo.

2. Wewe kuruhusiwa kuamini chochote, haina maana kuwa unachoamini ni kitu kipo kweli, kwa sababu hata uongo unaaminika, hivyo imani tu si kitu cha msingi katika kutafuta ukweli wa mambo.

3. Mimi najadili ukweli, kwa mantiki, kwa vipimo. Ukiujua ukweli, huhitaji imani.Imani inatumika pale ambapo huujui ukweli.

4.Kwa kupima kutafuta ukweli, Mungu muumba vyote, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

5. Mungu huyu anathibitishika kuwa hayupo kimantiki, na hawezi kuthibitishika kuwa yupo kimantiki.Zzaidi ya hapo ni ngonjera za kupandisha na kushusha uongo tu.

Kama unabisha, thibitisha kimantiki kwamba Mungu huyo yupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…