Mtandao wa Quora unawezekana ukawa sababu ya wakristo wengi wa Ulaya kusilimu na kuwa Waislamu

Mtandao wa Quora unawezekana ukawa sababu ya wakristo wengi wa Ulaya kusilimu na kuwa Waislamu

Quora ni website ya maswali na majibu,, haina uelemeo wa dini yeyote ile
 
Nakwambia hivi, in point form.

1. Unaruhusiwa kuamini chochote unachotaka, hii ni haki yako ya kuamini, haina mjadala. Mpaka kwenye Universal Declaration of Human Rights ipo.

2. Wewe kuruhusiwa kuamini chochote, haina maana kuwa unachoamini ni kitu kipo kweli, kwa sababu hata uongo unaaminika, hivyo imani tu si kitu cha msingi katika kutafuta ukweli wa mambo.

3. Mimi najadili ukweli, kwa mantiki, kwa vipimo. Ukiujua ukweli, huhitaji imani.Imani inatumika pale ambapo huujui ukweli.

4.Kwa kupima kutafuta ukweli, Mungu muumba vyote, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

5. Mungu huyu anathibitishika kuwa hayupo kimantiki, na hawezi kuthibitishika kuwa yupo kimantiki.Zzaidi ya hapo ni ngonjera za kupandisha na kushusha uongo tu.

Kama unabisha, thibitisha kimantiki kwamba Mungu huyo yupo.
Naomba unijibu, dunia ilitokana na nini na uhai ulianzaje? Kisha nitarudi kwenye maswali yako.
 
Ninataka kujua ufahamu wako kwenye hayo maswali mawili.
Kwa nini? Maswali hayo yanahusiana vipi na hoja ya kuwapo kwa Mungu?

Nikikwambia uiandike kwa ukamilifu in decimal notation square root ya mbili na wewe utaweza?
 
Ikiwa imeshapita mwaka mmoja sasa tangu Kanisa kubwa la Byzantine empire liitwalo HAGIA SOPHIA kubadili muelekeo na kuwa Msikiti huko Instanbul, Quora inawezekana ikawa ni mtandao unao tegemewa sana katika harakati za kiimani,

Quora ni tovuti ya kijamii ya maswali na majibu iliyopo Mountain View, California. Ilianzishwa miaka ya 2010. Watumiaji wa mtandao huu wanaweza kushirikiana kwa kuhariri maswali na kutoa maoni kuhusu majibu ambayo yamewasilishwa na watumiaji wengine. Waislamu wa magharibi wametumia mtandao huu kuusambaza sana uislamu kwa kutoa majibu yanayo kinahisha nafsi za wengi.

Miongoni mwa maswali na majibu kutoka Quora.

SWALI

Je, ni sababu gani ya kawaida inayopeleka Wakristo wengi kubadili dini na kuwa waislamu kutoka Ukristo?

MAJIBU NI KWAMBA

-Uislamu unajibu maswali yote kwa uwazi, kila kitu katika uislamu kina sababu ya kimantiki.
  • Uislamu unajibu maswali yote kuhusu yanayoonekana na yasiyoonekana.
  • Qur'an haina ukinzani hata mmoja, tofauti na maandiko mengine.
  • Kutamalaki kwa amani, utulivu na furaha ya ndani.
  • Haki : utawajibika kwa dhambi zako mwenyewe, hakuna mtu anayeweza kuhesabiwa kwa dhambi za mwingine.
  • Madhambi yote yamesamehewa, isipokuwa shirki. Anayesamehe dhambi ni MUNGU na wala sio nabii wala Mwanaadamu
  • Hulinda wanawake na kuwaunga mkono na kuwanyanyua na kuwaheshimisha
  • Katika uislamu Amri zote za Mwenyezi Mungu, ni kwa manufaa ya mwanadamu.
  • Muumba, ni wa kipekee, anajitosheleza, ni mmoja na mkamilifu, Hana sifa za kiume wala za kike, hakuzaa wala hakuzaliwa, hana mfano na kitu chochote kile.
  • Katika uislamu Hakuna wapatanishi au watangulizi, kati yako na Muumba wako, wakati wowote unapomhitaji Muumba wako, unaweza kuwasiliana Naye, Tofauti na dini zingine hadi ukaungame.

Nadhani haya ni baadhi ya mambo makuu, yaliyoathiri kusilimu kwa wazungu wengi kuacha ukristo na kuingia uislamu.

View attachment 2230031
Mkuu usijefikiria Quora ni kifupi cha Quran. Adam D’Angelo hakuwa na maana hiyo.
 
Kwa nini? Maswali hayo yanahusiana vipi na hoja ya kuwapo kwa Mungu?

Nikikwambia uiandike kwa ukamilifu in decimal notation square root ya mbili na wewe utaweza?
Majibu yangu yatapata kukamilika baada ya kuelewa ufahamu wako juu ya chanzo cha dunia na uhai kwa ujumla.
 
Majibu yangu yatapata kukamilika baada ya kuelewa ufahamu wako juu ya chanzo cha dunia na uhai kwa ujumla.
Nikisema sijui chanzo cha dunia na uhai, hilo linathibitisha Mungu yupo?

Mimi sijakuambia najua chanzo cha dunia na uhai.

Mimi nimekuambia Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
 
Kijana watu hawashughuliki na Ukristo sababu hauna athari angalia leo katika dunia hii, Uislamu ndiyo unapigwa vita kwa namna yoyote kuanzia propaganda na mfano wa hayo. Sababu Uislamu umekamilika na una misingi imara, Ukristo na Uyahudi watu hawashughuliki nao sababu dini hizi mbili ziliasi mafundisho ya mitume tangu zamani.

Ukitaka kuamini hilo, leo hii angalia tu matumizi ya neno "Ugaidi" ukiangalia tamko hili maana yake katika kamusi, haifungamani na dini, na matendo ya magaidi hufanywa na waislamu na waislamu na wasio kuwa waislamu, lakini ukiangalia na kusoma katika vyombo vya habari tamko hili huwagusa Waislamu tu.

Shida yenu ni ile ile hamsomi mambo na kuyachunguza.
Wacha uongo. Wisilamu ulienezwa kwa upanga lakini ukiristo ulienezwa kwa Amani. Waeneza ukiristo walichichwa na kuchomwa moto na wale walioupinga lakini waeneza uisilamu walichicha na kuchoma moto waliowapinga. Hivyo toka kale za zamani sera za uisilamu ni ukatiri na ndiyo maana wanapewa ugaidi
 
Wacha uongo. Wisilamu ulienezwa kwa upanga lakini ukiristo ulienezwa kwa Amani. Waeneza ukiristo walichichwa na kuchomwa moto na wale walioupinga lakini waeneza uisilamu walichicha na kuchoma moto waliowapinga. Hivyo toka kale za zamani sera za uisilamu ni ukatiri na ndiyo maana wanapewa ugaidi
Mimi unastahiki nikujibu hivi "SAWA.
 
Nasikitika sana, una uwezo mdogo sana wa kuelewa, hayo majibu hayatishelezi mtu kubadili dini kaka, zipo sababu mbali mbali za binadamu kubadili dini moja kwenda nyingine, ila usilojua ni kwamba wahamiaji wengi wa ulaya ni kutoka nchi zenye asili ya kiarabu ambao ndo wanaongeza population siku hadi siku ilhali wazawaza wana kasi ndogo ya kuongezeka, na ndio mana leo Ufaransa, ujeruman na nchi nyingine idadi ya watu inqongezwa na wahamiaji ambao wengi ni waislam.
Usijidanganye uhamiaji auhusiki mbona wapo waislam wengi wahamiaji wakifika ulaya wanabatizwa makundi tu ukitaka na video unapewa, nikuambie wazungu ni watu wenye misimamo sana usijidanganye, tafuta habari ya bbc swahili dira ya dunia ilikuwa mwaka jana mwezi wa kumi uone nchi nyingi ulaya zilikuwa zinapokea wakimbizi wakristo tu mfano ustria nk na habari ya bbc swahili dira ya dunia leo usiku kaiangalie wakimbiz wanarudishwa kwao wengine wanapelekwa rwanda kazi kwako
 
Back
Top Bottom