Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu huu mtandao kuibia watumiaji wake lakini hatuoni maboresho yoyote mimi leo nimelazimika kuandika uzi sababu nimeibiwa salio langu la tsh 300 na huu mtandao baada ya kujaza vocha wananitumia sms umekatwa sh 300 baada ya kujiunga na huduma ya "chekecha mkwanja "
Ni huduma ambayo sijawahi kujiunga wala sihijui lakini natumia sms kuwa umekatwa Tsh 300 kutokana na kujiunga huduma hii ni utapeli mkubwa sana voda wanaufanya nilazima serikali itoe jicho kufuatilia hii mitandao kwa hichi kinachoendelea naona watakuwa wanavuna pesa nyingi kuibia watumiaji
Ni huduma ambayo sijawahi kujiunga wala sihijui lakini natumia sms kuwa umekatwa Tsh 300 kutokana na kujiunga huduma hii ni utapeli mkubwa sana voda wanaufanya nilazima serikali itoe jicho kufuatilia hii mitandao kwa hichi kinachoendelea naona watakuwa wanavuna pesa nyingi kuibia watumiaji