Mtandao wa vodacom mwisho lini kuwaibia watumiaji wake

Mtandao wa vodacom mwisho lini kuwaibia watumiaji wake

ikiwa na deni hawagawi mkuu.! Mm niliwahi kukaa miezi minne bila kuwa hewani, nilikuwa nadaiwa 42,000 lakini hawakugawa[emoji23]
Ndipo hapo hata Mimi nawashangaa kusema eti nina deni la nyuma 12000 ilihali mwezi wa tatu Mwaka huu iliwekwa 15,000 ndipo wakatoa tokeni, suala hili ni janga la Taifa, mbaya zaidi tunaowategemea kutusemea wamebaki kusifu tu kwa nyimbo na mapambio ya anaupiga mwingi!
 
Yaan 300 unalialia wakati ukitumia M-PESA 15000 unarudishiwa 3000 ukitumia 1000 unarudishiwa 150 ukitumia 500 unarudishiwa 50, hivi unataka Vodacom wakuoende vipi mkuu ?
Vodacom ya wapi hiyo mkuu? Tz au?
 
Niliachana na huduma za kukatwa hela mwaka 2006

baada ya hapo sijawahi kukutwa na maumivu ya makato mpaka leo wananiomba nikope hata Jero kwao😄😄😄
Screenshot_20230531-145306.png
 
Tuashumu wanawateja 30mils,wakaamua kuwapiga 10mils,300/=tsh,that's 3bilions easy money,mtu anazipata Kwa kushika tu keybod huku anakuna pumbu.

Halafu wanasema waafrika ni mafala
 
Back
Top Bottom