Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Wakala haoni. Nimetoka kutoa pesa hapa.. nadhani ni kwa heshima yangu America vinginevyo angekua mwingine wasingeelewana.Shida sio m-pesa app issue ni mtandao.. what if natoa kupitia m-pesa app je wakala ataona?