Mtandao wa WhatsApp haupatikani hewani kwa muda

Mtandao wa WhatsApp haupatikani hewani kwa muda

Watumiaji wengi wa mtandao wa WhatsApp wameripoti kushindwa kutuma wala kupokea ujumbe wowote asubuhi hii.

View attachment 2397216
Kwa mujibu wa Downdetector, zaidi ya watu 12000 wameripoti uwepo wa tatizo hili hadi kufikia mida ya saa 4:30 asubuhi.

Hata hivyo, hakuna taarifa yoyote rasmi iliyotolewa na Kampuni ya Meta yenye kuthibitisha au kukanusha kuhusu uwepo wa changamoto hii.

Kwako hali ipoje?
Serikali ipo kwenye msako wa kuwatafuta ma admin wa groups za Kalyinda whatsup [emoji1][emoji1787]
 
Ni wakati Sasa wa telegram kupata soko pia tuhamie huko Tena telegram Ina features nyingi sana na ni secure.
 
Kwa mujibu wa habari niliyopata hasa I phone kuanzia 6 kwenda chini system zake hazi support tena na Android kuanzia 4 sijui kwenda mbele ndio zina support kwa maana hiyo watu wa update software kama simu yako haikubali basi kazi kununua simu nyingine. Maisha magumu na hawa kutaka kuuza simu zao wanaongeza ugumu.
 
Ndo mana najiuliza mbona nimewasha data lkn sioni msg yoyote? . Duh!!! Kweli ni mtihani
 
Nlijua nmeishiwa mbs.. kumbe kuna shida..

Itakuaje sasa kwa sie tunaotegemea kwenye shughuli zetu🙆‍♀️🙆‍♀️
 
Nipo south Africa tumekaa tunaulizana mimi na wife. Yani ndio najua kupitia jamii forums
 
Kwa mujibu wa habari niliyopata hasa I phone kuanzia 6 kwenda chini system zake hazi support tena na Android kuanzia 4 sijui kwenda mbele ndio zina support kwa maana hiyo watu wa update software kama simu yako haikubali basi kazi kununua simu nyingine. Maisha magumu na hawa kutaka kuuza simu zao wanaongeza ugumu.
Acha kuzingua
 
Kwa mujibu wa habari niliyopata hasa I phone kuanzia 6 kwenda chini system zake hazi support tena na Android kuanzia 4 sijui kwenda mbele ndio zina support kwa maana hiyo watu wa update software kama simu yako haikubali basi kazi kununua simu nyingine. Maisha magumu na hawa kutaka kuuza simu zao wanaongeza ugumu.
Iphone na android os wapi na wapi?

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa mujibu wa habari niliyopata hasa I phone kuanzia 6 kwenda chini system zake hazi support tena na Android kuanzia 4 sijui kwenda mbele ndio zina support kwa maana hiyo watu wa update software kama simu yako haikubali basi kazi kununua simu nyingine. Maisha magumu na hawa kutaka kuuza simu zao wanaongeza ugumu.
Whyyyyy
20221020_225803.jpg
 
Back
Top Bottom