Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Tuendelee kusubiri warekebishe mitambo[emoji56]Haifai mpenzi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee kusubiri warekebishe mitambo[emoji56]Haifai mpenzi..
Telegram ni full package kila huduma ipo noma sana
Freemason wanafanya maintenanceWatumiaji wengi wa mtandao wa WhatsApp wameripoti kushindwa kutuma wala kupokea ujumbe wowote asubuhi hii.
View attachment 2397216
Kwa mujibu wa Downdetector, zaidi ya watu 12000 wameripoti uwepo wa tatizo hili hadi kufikia mida ya saa 4:30 asubuhi.
Hata hivyo, hakuna taarifa yoyote rasmi iliyotolewa na Kampuni ya Meta yenye kuthibitisha au kukanusha kuhusu uwepo wa changamoto hii.
Kwako hali ipoje?
Hata mimi pia kuna tatizo hilo.Ni kweli kabisa.
Ngoja tuone.
#MaendeleoHayanaChama
Mi nkajua nimekua suspendedNipo south Africa tumekaa tunaulizana mimi na wife. Yani ndio najua kupitia jamii forums
Nlijua nmeishiwa mbs.. kumbe kuna shida..
Itakuaje sasa kwa sie tunaotegemea kwenye shughuli zetu🙆♀️🙆♀️
hakuna namnaTuendelee kusubiri warekebishe mitambo[emoji56]
Ndo maana usiku nilisikia baruti🤭India ina watu bilioni 1.3 kuelekea point 4 na wana sikukuu yao ya Diwali. Na bado jana Rishi Sunak Mhindi kawa Waziri Mkuu wa Uingereza. Ilitarajiwa leo WhatsApp itakuwa chini, wazoefu wa internet traffic walisema nami kuna sehemu nilisoma jana
Naitumia pia..Njoo telegram mpendwa
Kwa hiyo Rish Sunak kaleta mafuriko ya wahindi kwenye wasap, bila shaka wahindi wataenda kujazana uingereza maana sasa wanatawala nchi mbili.India ina watu bilioni 1.3 kuelekea point 4 na wana sikukuu yao ya Diwali. Na bado jana Rishi Sunak Mhindi kawa Waziri Mkuu wa Uingereza. Ilitarajiwa leo WhatsApp itakuwa chini, wazoefu wa internet traffic walisema nami kuna sehemu nilisoma jana