Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Tayari Wamesharekebisha mitambohakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari Wamesharekebisha mitambohakuna namna
Yeah naonaTayari Wamesharekebisha mitambo
Mtandao ulikua chini kweli , uwe unaweka bandoAina za simu munazotumia vijana tutafuteni hel[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Soma vizuri uelewe hii ndio shida ya wa Tz kujibu kabla ya kuelewa nimesema I phone 6 kwenda chini system yake kwa maana huwezi ku upgrade iOS hazitafanya kazi na Androis system 4 kwenda juu tuIphone na android os wapi na wapi?
#MaendeleoHayanaChama
WhatsApp will stop supporting this version of iOS after 24 Oct 2022.” It then advises: “Please go to Settings > General, then tap Software ... NAZINGUAAcha kuzingua
WhatsApp will stop supporting this version of iOS after 24 Oct 2022.” It then advises: “Please go to Settings > General, then tap Software ...Iphone na android os wapi na wapi?
#MaendeleoHayanaChama
Ipo vizuri kwa kweliNaitumia pia..
Media zake zipo vizuri.. hazina mkwamokwamo..
Kwa hiyo wewe ni magrup ya ccm tu upoNimetuma picha View attachment 2397235zimegoma
Ndiyo Mkuu🤔Kwa hiyo wewe ni magrup ya ccm tu upo
SanaaIpo vizuri kwa kweli
Tulikua busy na kazi, hata hatukunotice hilo 😛
Tatizo kawa PM jioni siku hiyohiyo ya Diwali. Mchango wake mdogo ila umeongezeka kwenye sikukuu ambapo internet traffic ilitarajiwa iwe kubwa vilevile. According to mtaalamu huyo hapo jana alitabiri hivyo na nimeona imekuwaKwa hiyo Rish Sunak kaleta mafuriko ya wahindi kwenye wasap, bila shaka wahindi wataenda kujazana uingereza maana sasa wanatawala nchi mbili.
Mkajua majambazi. Hata humu JF niliona😀Ndo maana usiku nilisikia baruti🤭
hata zingeendelea ungeingiza bei gani labda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usitafte sababu mitandao ipo kibaoKwa sisi tunaotegemea Whatsapp kwa kujipatia kipato, biashara zimesimama kwa muda.