Mtandao wa WhatsApp haupatikani hewani kwa muda

Freemason wanafanya maintenance
 
Nimehangaika si kidogo, nikahisi nimeishiwa bundle, zima simu washa hola!
Asanteni kwa taarifa.
 
India ina watu bilioni 1.3 kuelekea point 4 na wana sikukuu yao ya Diwali. Na bado jana Rishi Sunak Mhindi kawa Waziri Mkuu wa Uingereza. Ilitarajiwa leo WhatsApp itakuwa chini, wazoefu wa internet traffic walisema nami kuna sehemu nilisoma jana
Ndo maana usiku nilisikia baruti🤭
 
India ina watu bilioni 1.3 kuelekea point 4 na wana sikukuu yao ya Diwali. Na bado jana Rishi Sunak Mhindi kawa Waziri Mkuu wa Uingereza. Ilitarajiwa leo WhatsApp itakuwa chini, wazoefu wa internet traffic walisema nami kuna sehemu nilisoma jana
Kwa hiyo Rish Sunak kaleta mafuriko ya wahindi kwenye wasap, bila shaka wahindi wataenda kujazana uingereza maana sasa wanatawala nchi mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…