GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Najua wengine watakimbilia kusema "motivational speaker", lakini hata kama wote watakejeli, kejeli zao hazitaubadili ukweli ninaoenda kuuwasilisha!
Kenya ndiyo nchi inayoongoza Afrika Mashariki kwa kusafirisha nje mboga na matunda. Lakini wakati huo huo, Tanzania ina eneo kubwa linalofaa kwa kilimo ukilinganisha na Kenya.
Katika ardhi yote inayofaa kwa kilimo Tanzania, inayotumika ni chini ya asilimia thelathini na tano. Hiyo ni nini kama si isharq kuwa kuna fursa ya "kutoboa " kupitia kilimo nchini?
Mazao yanayoongoza kwa kuwaingizia Wakenya mamilioni mengi ya fedha ni MISHOKISHOKI (dragon) ikifuatiwa na parachichi za HASS. Ni wazi kuwa mazao yanayostawi Kenya yanaweza pia kustawi Tanganyika.
Nataka kusemaje?
Unaweza kuwa bilionea kwa kufanya kilimo cha kisasa. Lima:
1. Dragon fruits
2. Hass avocado
3. Apple
4. Nyanya
N.k., lakini hakikisha hali ya hewa ya eneo husika inaruhusu hicho kilimo.
Nasisitiza, lima kisasa, hata kama utaanza kwa kulima eneo dogo sana.
Na kama unaona huna maarifa yanayohitajika kwenye mazao husika, mtafute mjasiriamali wa kilimo mwenye uzoefu akupe semina, au uhudhurie kozi fupi ya Kilimo SUA.
Usiseme huna ardhi!
Usiseme huna mtaji!
Usiseme huna maarifa!
Usiseme huna nafasi!
Usiseme huwezi!
Penye nia pana njia! Ukishaamua kuwa bilionea kupitia kilimo cha kisasa, utakuwa umeshashinda kwa zaidi ya asilimia hamsini.
Inuka sasa uufukuzie ubilionea wako!
Kenya ndiyo nchi inayoongoza Afrika Mashariki kwa kusafirisha nje mboga na matunda. Lakini wakati huo huo, Tanzania ina eneo kubwa linalofaa kwa kilimo ukilinganisha na Kenya.
Katika ardhi yote inayofaa kwa kilimo Tanzania, inayotumika ni chini ya asilimia thelathini na tano. Hiyo ni nini kama si isharq kuwa kuna fursa ya "kutoboa " kupitia kilimo nchini?
Mazao yanayoongoza kwa kuwaingizia Wakenya mamilioni mengi ya fedha ni MISHOKISHOKI (dragon) ikifuatiwa na parachichi za HASS. Ni wazi kuwa mazao yanayostawi Kenya yanaweza pia kustawi Tanganyika.
Nataka kusemaje?
Unaweza kuwa bilionea kwa kufanya kilimo cha kisasa. Lima:
1. Dragon fruits
2. Hass avocado
3. Apple
4. Nyanya
N.k., lakini hakikisha hali ya hewa ya eneo husika inaruhusu hicho kilimo.
Nasisitiza, lima kisasa, hata kama utaanza kwa kulima eneo dogo sana.
Na kama unaona huna maarifa yanayohitajika kwenye mazao husika, mtafute mjasiriamali wa kilimo mwenye uzoefu akupe semina, au uhudhurie kozi fupi ya Kilimo SUA.
Usiseme huna ardhi!
Usiseme huna mtaji!
Usiseme huna maarifa!
Usiseme huna nafasi!
Usiseme huwezi!
Penye nia pana njia! Ukishaamua kuwa bilionea kupitia kilimo cha kisasa, utakuwa umeshashinda kwa zaidi ya asilimia hamsini.
Inuka sasa uufukuzie ubilionea wako!
Attachments
-
Mr.Beatus_Malema_s_sentiments_on_a_Dragon_fruit_from_SJS_Organic_Farm_Kwanyange.(360p).mp423.2 MB
-
CHINESE_FARMERS_IN_KENYA_REAP_PROFIT_FROM_DRAGON_FRUITS(720p).mp432.7 MB
-
CHINESE_FARMERS_IN_KENYA_REAP_PROFIT_FROM_DRAGON_FRUITS(144p).mp44.5 MB
-
Msichana_Mjasiriamali_Tanzania_kupitia_kilimo(240p).mp46.8 MB
-
How_Asia_Harvesting_Million_of_Dragon_Fruits_-_Awesome_Asia_Agriculture_Tradition_Processing_F...mp412.6 MB
-
Mbona_tunda_la_dragon-fruit_ni_ghali_zaidi_(240p).mp419.7 MB
-
Kenyan_making_a_name_in_agribusiness_in_Rwanda(240p).mp417.9 MB
-
HlSTORIA_..MJUE_KIJANA_ANAETENGEZA_MILIONI_120_KWA_MIEZI_3_ATOBOA_SIRI_NZITO(240p).mp433.4 MB
-
MTANZANIA_MILIONEA_MWENYE_MASHAMBA_MAKUBWA_YA_PARACHICHI,_ASIMULIA_ANAVYOPIGA_MAMILIONI(144p).mp414.8 MB
-
MKULIMA_WA_NYANYA_TAJIRI_WILAYA_YA_KARATU-MALELA(144p).mp48.7 MB
-
MKOJO_WAMVURUGA_HUSSEIN_BASHE,_MAAJABU_YA_MKULIMA_IRINGA(144p).mp410.1 MB
-
Tajiri_wa_parachichi_aliyemkosha_Waziri_Mkuu__Nilianza_na_mtaji_wa_elfu20,_sasa_navuna_mamilio...mp413.5 MB
-
EXCLUSIVE___NILIITWA_KICHAA_KWA_KUOKOTA_MBEGU_ZA_PARACHICHI__-_ERASTO_NGOLE(144p).mp430.2 MB
-
NEMESI_ATEMBELEWA_NA_UJUMBE_KUTOKA_CHUO_CHA_ULINZI_CHA_TAIFA(144p).mp411.9 MB
-
NEMES;Apokea_Ugeni_Mzito_Kutoka_Chuo_cha_Ulinzi_Nchini_Wajifunza_Kilimo_cha_Parachichi_Nimefar...mp429.1 MB