Mtangazaji Adam Mchomvu amwomba radhi JPM kwa kutompigia Kura mwaka jana

Kwahiyo kampeni ndo zinaanza tena au? Kwani angempongeza tu bila hayo mengine Ujumbe usinge fika? Yeye nani kwani
 
Mmh ameomba lini huo msamaha? Mi mdau wa xxl sana tu cjawah isikia hii au hakusema redion?
 
Hapo ashukur kuwa clouds fm vinginevyo asingefahamika man Hanaga hoja za msing au za mashiko, kama hakumpigia ni sir yake yanin kufichuwa, huo ndio umbeya na unafiki, jaman huku kujipendekeza tutapata watu wasio tufaa
 
Kwahiyo kampeni ndo zinaanza tena au? Kwani angempongeza tu bila hayo mengine Ujumbe usinge fika? Yeye nani kwani

Yeya ni Mtangazi mahiri, machachari, mbunifu, mchapa kazi, mwerevu sana, mwenye mvuto na aliyeweza kukusanya kijiji cha Wasikilizaji wengi wa Redio hasa Vijana wanaochangia 65% ya Population ya nchi hii na anakubalika kunakotukuka si tu Tanzania bali hadi huko ' duniani '. Labda na Wewe pia unayehoji kuwa huyu Adam Mchomvu ni nani utuambie kuwa hivi na Wewe ni nani pia?
 
Mmh ameomba lini huo msamaha? Mi mdau wa xxl sana tu cjawah isikia hii au hakusema redion?

Yawezekana aliposema hivyo labda ulikuwa umeenda mara moja kukata ' bogi ' chooni hivyo hukuweza kumsikia. Siku nyingine ukiwa unajua unasikiliza XXL na unaelekea kukata ' bogi ' chooni beba kabisa na redio yako ili uwe unamsikiliza Adam Mchomvu na XXL huko huko.
 
Ndo tujiulize hao waliompigia kura wako wapi?

Hao waliompigia kura ni sisi tusio na vyama ambao ni wengi kuliko wenye vyama. Kumbuka kuwa CCM zaidi ya nusu walimpigia yule wa gia za angani kwa hiyo hata rais Magufuli siyo rais wa CCM bali wetu wote na CCM waache unafiki kuwa ni chaguo lao bali Mungu alimchomekea ili kutuepusha na maangamizi ya Taifa letu.
 
huyo dogo nasikia ana 'mdudu' kitambo. Viemeanza kuchanganya ndo mda wake...poleni mabinti mnaokwenda nae stereo....

Wewe umeshapima na kujulikana hujaathirika? au ndiyo unawatahadharisha wenzako baada ya Jamaa pengine ' kukung'ata ' kwa kukuchapa nao? Nijuavyo Watanzania wote ni ' Waathirika ' watarajiwa ila ni muda tu ndiyo tutakaopishana katika ' kudondoka '.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…