GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
sababu ya kibaiolojia au sio
Unabisha nini,Mange kasemaSio kweli hajafukuzwa ni uzushi tu samsasali anasema atakuwepo jumatatu na waziri wa viwanda
Hapo sawa nimekupata vyema mkuu aiseeMkuu nikishasema tu hiyo sentensi ' naomba niishie hapa tafadhali ' jua ya kwamba nayahifadhi mengi ambayo Kimaadili nisingependa kuyaweka wazi. Japo naamini kuwa nimekujibu ' Kidiplomasia ' ila nina uhakika kabisa na nakujua jinsi ulivyo mjanja mjanja na una IQ nzuri kuwa utakuwa umeshanielewa vizuri sana tu ' Kamarada ' wangu wa ukweli Joseverest. Tupo pamoja Mkuu!
Lissu ndo anatumika na ki.la mtu, hata Ponda !Hii ni hatari aisee yaani kutangaza hali ya afya ya Tundu Lissu inamsimamisha mtu kazi?? Vipi Clouds wanatumika?
Mange ndo Radio Chadomo !Unabisha nini,Mange kasema
Kama ulijua toka juzi mbona hukuleta habari humu,mbona mnapenda kushikiwa akiri sana na yule mkimbizi,kama mimi zwazwa wewe ziziAcha uzwazwa kapigwa stop tokea majuzi yamebumburuka sababu yakupigwa stop ni kudiscuss issue ya lisu while wamekatazwa watu wamemblast ruge na clouds ndo uyo Sam akajilete na iyo news kufunika what happened
kazi ipoLissu ndo anatumika na ki.la mtu, hata Ponda !
Kwani uwongo jamani? Yeye mwenyewe kajitanabaisha hivo, malaya. Hukumbuki alivopost kule insta kuwa anawamendea wanaume wa. Kishua wenye hela?Wewe nahisi utakuwa na vinasaba vya kike ...kushutumu na kuhisihisi wenzao mambo ambayo sio mazuri
Umejuaje kama Mange ni Malaya...haya kama umejua kuna haja gani ya kutangaza sifa mbaya ya mtu...hana sifa nzuri??
Tuambie basi na wewe tabia zako mbaya
Haya
Jiandaeni kisaikolojiaNdo nimeamini kuwa Tundu Lisu ni threat kubwa saana hapa nchini
Lisu anawatesa saana kuanzia mfalume juha hadi vijakazi wakeJiandaeni kisaikolojia
....huyo kiwetee !?Lisu anawatesa saana kuanzia mfalume **** hadi vijakazi wake
Hivi north pole wana redio inaitwaje vilee.....Aende radio UKAWA
tukianza kuleta ukwetu kila kitu Na matusi mzee!Mange ndo Radio Chadomo !
Mkuu kunaugonjwa umeingia anaitwa D UCHWARA kila sekta upo aponi mtuHii ni hatari aisee yaani kutangaza hali ya afya ya Tundu Lissu inamsimamisha mtu kazi?? Vipi Clouds wanatumika?
aiseeh ni nomaMkuu kunaugonjwa umeingia anaitwa D UCHWARA kila sekta upo aponi mtu