Hayo ya kwako tuu sio wote wanaangalia maslahiHayo ya kwako, watu wanaangalia masrahi.
RelaxYaani mtu unajua mpaka mondi Nguo alizovaa kanunua wapi..!
Huu ushabiki too much
Hater.Okota okota FM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
liganga njaa jingine hili hapa limekuja lenyeweeeRelax
Narudia tena Millard siyo mjingaHayo ya kwako, watu wanaangalia masrahi.
Okota okota FM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Relaxliganga njaa jingine hili hapa limekuja lenyeweee
RelaxWatu wameshajichokea hata hawana ushawishi kwa wasikilizaji tena wao wanajiokotea tu
Hao wengine wanaoenda ni wajinga?Narudia tena Millard siyo mjinga
Kwani hapo CMG amefata kusikika au maslahi? Kama ni maslahi inamaana Wasafi wakizidi dau atajoin tu usafini.Millard Siyo Mjinga aende kwenye aachane na Media Kimataifa kama CMG Aende kwenye Local Media ambayo inasikika mkoa mmoja
Hakuna Mtangazaji wa maana mwenye Level za Juu kama akina Millard aliyeenda pale.. Kama yupo mtaje.Hao wengine wanaoenda ni wajinga?
Wali Nazi..Relax
Maulid kitenge, Na cabinet yote ya sports. Huku kuna Jonijoo na wenzakeHakuna Mtangazaji wa maana mwenye Level za Juu kama akina Millard aliyeenda pale.. Kama yupo mtaje.
CMG ilikua ndoto yake ya siku Nyingi na aliitimiza na Ikamfungulia Dunia na kumwezesha kupata Fursa kibao..Kwani hapo CMG amefata kusikika au maslahi? Kama ni maslahi inamaana Wasafi wakizidi dau atajoin tu usafini.
Uzee bhana
Hao ni watangazaji wa Level za Kati hawana ushawishi Wowote na hawajafika hata nusu ya Level za MillardMaulid kitenge, Na cabinet yote ya sports. Huku kuna Jonijoo na wenzake
Mkuu,watangazaji ni Kama wachezaji wa mpira tu,hawana uwepo wa kudumu sehemu moja...licha ya kuwa na ndoto za kupitia huko MAWINGU Bado ana dream zake yeye Kama mtafutaji kwahiyo nasisitiza kwamba akipata mkataba mnono zaidi ataweza kutimkia hata pride fm ya tandahimbaCMG ilikua ndoto yake ya siku Nyingi na aliitimiza na Ikamfungulia Dunia na kumwezesha kupata Fursa kibao..
Kua CMG kuna faida kubwa kuliko hata hako kadau
Watu wameshajichokea hata hawana ushawishi kwa wasikilizaji tena wao wanajiokotea tu
Mkuu dau lililopo Wasafi ni Kuwasaini akina Juma Lokole [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu,watangazaji ni Kama wachezaji wa mpira tu,hawana uwepo wa kudumu sehemu moja...licha ya kuwa na ndoto za kupitia huko MAWINGU Bado ana dream zake yeye Kama mtafutaji kwahiyo nasisitiza kwamba akipata mkataba mnono zaidi ataweza kutimkia hata pride fm ya tandahimba