Uchaguzi 2020 Mtangazaji Doto Bulendu aomba re-match baada ya maswali yake yote kupanguliwa na Tundu Lissu. Kila anayemkamia Lissu huishia kumkubali

Kawe Alumni,
Hata wale wa Milembe hutuona sisi wa mtaani ndio wagomjwa. So angalie icjekuwa wewe ndo psychiatric case.
 
Magufuli sio level ya Lissu.....

Lissu ana akili nyingi sn sn
 
Kupinga maendeleo ya watanzania kwa hoja za kitoto kama hizo? Eti kwa nini deni la taifa limezidi? Kwani haoni mambo yanayofanyika. Na hajui kuwa linalipwa kwa pesa za watanzania!

Acha mhemuko nenda taratibu Elewa hoja yake

Hoja ni kuwa, miradi yote mikubwa inafanyika kwa pesa za ndani sasa why kwa Miaka mitano deni limekuwa zaidi ya miaka kumi ya jk?

Hilo den linatokea wapi?
 
Nitoe tahadhari kwa wanahabari,

Ukitaka kumhoji Lissu hakikisha una taarifa za kutosha,ukikariri Yale ya Magufuli sijui tumejenga nini na nini,utaishia kupewa shule na wewe utageuka msikilizaji

Hoja za Lissu kule CCM hakuna anaweza kujibu
 
Maswali ya Dotto Bulendu yameumbua utawala wa awamu ya tano CMM na mgombea wetu tujitafakari
 
.. walioamua kuvizuia vyombo vya habari visimtangaze siyo wajinga.

.. wanajua uwezo na ushawishi wa hoja alionao Tundu Lissu.

.. Doto Bulendu amejaribu kumbana lakini imeshindikana. Ameamua kuomba re-match.


Very interesting.

Tundu Lissu ni kichwa. Mtu huchoki kumsikiliza huyu jamaa hata kama ataongea masaa 6!

Sina hakika kama Bw. John Pombe Magufuli mgombea Urais wa CCM, kama hata anajua kuwa HYUNDAI au SUMSUNG ni makampuni makubwa toka South Korea.

Ukimshitukiza Magufuli kumuuliza kuhusu hili, usishangae akajibu kuwa hayo ni makampuni toka Kuwait na Libya... πŸ˜› πŸ˜›πŸ˜›

Tuna Rais wa ajabu kweli!
 
Acha mhemuko nenda taratibu Elewa hoja yake

Hoja ni kuwa, miradi yote mikubwa inafanyika kwa pesa za ndani sasa why kwa Miaka mitano deni limekuwa zaidi ya miaka kumi ya jk?

Hilo den linatokea wapi?
Acha kupotosha kipuuzi wakati watanzania wanajua nini kinaendelea.
 

Attachments

  • Screenshot_20200912-200456.png
    26.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20200912-200708.png
    22.5 KB · Views: 2
Lissu hachoshi kumsikiliza, sio kama yule wa Lumumba hana facts
 
Acha akili za kitoto, unadhani hilo deni linalipwa na nini? Bangi na konyagi mnazokunywa na kuvuta!
Sidhani kama umeelewe ulichokiandika, kama miradi inatengenezwa kwa pesa za ndani kwanini deni la Taifa linaongezeka? (Nini kinaliongoze kwa kasi hiyo)Jibu hapo kwanza, na kama deni linalipwa kwanini linazidi kuongezeka?
Ukijibu hayo ndo utajua kati yangu na familia yako yote nani anatumia msokoto πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Achani uzwazwa, kushabikiashabikia kila kitu kama mmerogwa badala ya kufikiri kwa kichwa unafikiri kwa makalio yako...
Nijibu hayo maswali kisha tuendelee
 
sababu ya kutosoma magazeti na kufuatilia vyombo vya habari. Mikopo ikifanyika serikali huwa inatangaza. Na kuweka wazi ni kwa ajili ya mradi gani.
Wewe jamaa nimegundua ni kichwa maji kabisa,samahani sana nilijua mnazo ndio mana nikajibu
 
Acha ujinga,kama deni la Taifa Lina lipwa na watanzania,na miladi inajengwa kwa fedha za ndani, kwanini Deni la Taifa linazidi kukua?
 
Acha ujinga,kama deni la Taifa Lina lipwa na watanzania,na miladi inajengwa kwa fedha za ndani, kwanini Deni la Taifa linazidi kukua?
Kwani wewe mfano ukienda kukopa bank, ukianza kulipa huo mkopo huwa unalipa kwa pesa za nani? Au huwa unalipiwa na....
 
Mpuuzi na mpbavu kama wewe unaelewa nini? Mpaka nikujibu. Jinsi ulivyohoji inaonyesha akili zako ni matope.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…