Huwezi kujibu hapo 😀😀kichwa maji wewe, mmerogwa nyie badala ya kufikiri kwa kichwa mnafikiri kwa makalio yenuMpuuzi na mpbavu kama wewe unaelewa nini? Mpaka nikujibu. Jinsi ulivyohoji inaonyesha akili zako ni matope.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kujibu hapo 😀😀kichwa maji wewe, mmerogwa nyie badala ya kufikiri kwa kichwa mnafikiri kwa makalio yenuMpuuzi na mpbavu kama wewe unaelewa nini? Mpaka nikujibu. Jinsi ulivyohoji inaonyesha akili zako ni matope.
Acha kupotosha kipuuzi wakati watanzania wanajua nini kinaendelea.
Wewe jamaa nimegundua ni kichwa maji kabisa,samahani sana nilijua mnazo ndio mana nikajibu
Acha kuchukia wachaga mambo ya kikabila ni ushambaAcha kujidanganya, Dar Moro imechelewa sababu ya milima. Hiyo inayofuata ni kutandika tuta tu kama madada wa kichaga mnavyolala kwenye game.
mambo si yanafanyika kwa pesa za undani au?Kupinga maendeleo ya Watanzania kwa hoja za kitoto kama hizo? Eti kwa nini deni la taifa limezidi? Kwani haoni mambo yanayofanyika. Na hajui kuwa linalipwa kwa pesa za Watanzania!
Kwani kuna chuki hapo?Acha kuchukiwa wachaga mambo ya kikabila ni ushamba
Kipindi kinarudiwa linii??Kawe Alumni,
..[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Doto Bulendu alijua anakwenda kumhoji mgonjwa.
Katikati ya mahojiano Bulendu alitamani akimbie kwa nyundo alizokuwa akishusha Tundu Lissu
🤣 🤣🤣 Usituchekeshe.Aombe kuwakutanisha na Magufuli
Wakulima wa korosho wana hali nzuri, wa pamba majuzi ndio wameahidiwa kulipwa pesa zao, mishahara inapandishwa kila mwaka kwa miaka mitano, mnapata taabu sana kulazimisha nyeusi iitwe nyeupeKwani hiyo miradi inayotekelezwa kwa mikopo si inajulikana. Na deni la taifa analolipigia kelele huyu Lissu linalipika tena vizuri tu. Miradi tunayojenga kwa pesa zisizo za mkopo unaiona kama JNHPP. Lissu anadanganya umma kama nani? Data anazitoa online kwa kusearch ni za kuamini?
Wananchi hawana hali mbaya ndio maana wakulima na watu wanaojishughulisha wanaishi vizuri tu. Wewe na mafisadi mlizoea kupata pesa za wizi ambazo ziliongeza mzunguko wa pesa usio halali.
Maendeleo ya vitu na watu ndio upuuzi gani? Kwani Hospital, shule na barabara zinajengwa kwa ajili ya fisi.
Kipindi kinarudiwa linii??
Huyu huyu kibaraka wa beberu?
Unakutanisha watu wanaoweza kushindana kwa hoja.
JPM hana hoja zaidi ya kuzungumzia matiti ya wanawake, SGR, na Stieglers.
Tundu Lissu ni sawa na kavazi/archive ya siasa na demokrasia hapa Tanzania.
Come to your senses brother! You've long been conned...ni kwasababu hujakutana naye.
..wewe umezoea wakina Magufuli na Polepole.
Anajua sana anachokifanya tapeli huyu. Lakini mimi naamini Mungu aliyewakosanisha Kikwete na Lowasa, huyohuyo atalisambaratisha tapeli hili kuliokoa taifa na mipango yake ovu.Mahojiano hayo ni ushahidi mwingine kuwa Lisu ni muongo,na mara nyingine hajui analosema au kusimamia.
acha ujinga umsikilize hadi mwisho upate maarifa uondokane na upumbavuLissu anaongea hoja za kipuuzi sana kwani huoni hiyo miradi inayotekelezwa mpaka uulize kama imeliwa? Wewe na Lissu subirini muanze kununua unit 1 ya umeme sh 90.
We mpumbavu,unadhani nimesikiliza robo ya clip?acha ujinga umsikilize hadi mwisho upate maarifa uondokane na upumbavu
Mnao shabikia miradi mikubwa mumeona Nchi inavyo pigwa?.Ila Doto Bulendu ana akili sana. Maswali yake alikuwa anayabalance asionekane ametumwa na Chadema. Alikuwa akitaka kumuonesha Lissu kuwa kuna vitu vimefanywa na jiwe. Na hapo ndipo alipompa Lissu nafasi mujarabu ya kumkosoa jiwe.
Come to your senses brother! You've long been conned.
Bila kuwa dalali hutoboi...bora tubaki na Kahama yetu mpaka pale bei itakapoeleweka..piga hesabu Mpunga umeukusanyia Mpanda au Mbeya .. then ukasafirisha mpaka Kahama halafu usafirishe tena Mpaka Dar es salaam ambapo bila kuwa na madalali mzigo wako haupati wateja.Ila hiyo bei nilikuwa naipata pale pale kahama. Anyaway nashukuru kwa taarifa hiyo ntafanya cost analysis, nione kama inalipa. Ila mwambie huyo bwana mkubwa asiwe anafunga mipaka ili tupate soko la nje kirahisi, hapo ndo tutasema anatujali siye walulima wanyonge wa nchi hii.
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app