Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa tz kwa ujumla
mimi huyu hapa
View attachment 509279
Achana na demu wangu bro. Hapa nasubiri Ray akiteleza tu nampa mtoto life ya maana. Nafahamu ana watoto wawili ila wote nitawafanya wa kwangu. Nampenda sana huyu wife wangu mtarajiwa. Nyamwi popote ulipo siku ukijifanya umepa dwa hasira tuuu tusije laumiana. I love that Woman.
 
Huyo Ivona Kamutu anamwiga sana Salimu Kikeke.Kwanzia ku-pause, kukatisha maneno n.k. Kwa ujumla anaboa sana maana hana identity yake mwenyewe.

Kete yangu nampa Farha Middle wa ITV.
Kwa nini usiseme Salim Kikeke anamuiga Yvona? Mbona mna wivu wa kike? Yvona hajaanzq kutangaza jana na pose lake liko kama lilivyo miaka yote. Msimstress binti wa kiha. Napendaga yeye sana aisee.
 
Farhia midle
Mwaipaya Abdalah
Benjamin mzimga na Wil Ngoto

azam
Muhuza
Hillary charles na ivona K
Ch10
Kisa mwaipyana na yule aliyepigwa na mazombi ya lipumba
 
shida masamba (mamaa wa simulizi, ananikosha sana akisimulia nyimbo za country),, julieth robert na irene mwakalinga
 
Back
Top Bottom