Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwahaaaaaa mbwahaaaaa haaaaaJulieth Roberts,daaah ananimaliza huyu mdada,Habari si Habari tena kama haikusomwa na yeye..,na hata Dinner si dinner tena nisipomwona yeye.,Msaada kwenye Tuta mwenye namba ya yeye..,aniPM tu awe Wifi n a Shemeji yenu
Grace Kingalame aisee! Ananivutia sana.Ngoja nisubiri nione kama kuna mtangazaji wa TBC atatajwa ili nicheke
True..Juliet Robert wa ITV huwa anatulia sna akiwa anatangaza...Ukiangalia chals,kikeke na bbc karibu wote pozi na style yao ya kutangaza zinafana kiasi.
Fatma almasi yuko real sana na julieth robert anakuja vizuri sana. Sophia kessy pia yuko bomba
Kisa anatangaza vizuri ila uvaaji wake,kama sio mtangazaji wa Habari..Jamani acheni tu...Kisa Mwaipyana wa Channel Ten.
Sam mahela na pozi zake za kichwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sam mahela,, spensa lamek,, farhia middle,, masako(ameshastaafu)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nampenda jacqline slem....popote ulipo jack nakupenda tena ningependa uwe mpenz wangu sasa umeolewa ndio basi
[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nisubiri nione kama kuna mtangazaji wa TBC atatajwa ili nicheke