Mtangazaji Gerald Hando wa Clouds FM anusurika kuuawa maeneo ya Mwanyamala

Mtangazaji Gerald Hando wa Clouds FM anusurika kuuawa maeneo ya Mwanyamala

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Mtangazi wa Clous FM hapo siku ya jana alinusurika kuawawa maeneo ya Mwananyamala hapo majuzi nusura auwawe na bastola na jamaa mmoja

Chanzo cha habari kinasema kuwa wakati akiwa kwenye gari lake, Hando maeneo ya Makoma gari lake lilikwaruzana na gari la jamaa mwingine. Baada inshu hii kutokea ndipo jamaa kwenye gari lingine alimfata Gerald Hando ili wasuluhishe mzozo wao...

Wakati jamaa akimwomba Hando ashuke ili waongee kiuwanaume jinsi ya kumalizana ndipo mtangazaji huyo alipoonza kumjibu dharau. Jamaa alipoona hivyoo aliamua kutoa bastola na kupiga kwenye kioo cha pembeni ....

Gerald kuona hivyo aliomba msamaha, ndipo jamaa alimmwagia matusi ya nguoni na kumpiga vibao kisha kuondokaaaa

SOURCE: GAZETI LA RISASI
 
Mkuu mbona kama story yako kidogo ipo tofauti na hii...

g1.PNG

g2.PNG


Source: MTANGAZAJI WA CLOUDS FM "GERALD HANDO" ANUSURIKA KUPIGWA RISASI ALFAJIRI YA LEO...!! - GUMZO LA JIJI
 
wamezoea kupeta kwa fadhira za akina fulani, basi hata mambo ya msingi ya nchi hii hawana muda nayo kazi kuongea nonsense 2!
 
....Haya mambo ya bastola nje nje siku hizi yanazidi kuchukua kasi.. polisi wanaona ni kitu cha kawaida eeeeh...
 
na anabahati kulikuwa na watu wengi, analeta upuu*zi wake mbele ya watu wenye hasira na maisha
 
Kama angemuua bado sheria ingembana maana nchi yetu inaendeshwa na sheria.Ningekuwa mimi Hando bado ningemshitaki kwa kosa la kunitishia na bastola.Mimi hata kama nimechuna gari yako ukinitukana tu nakushughulikia ipasavyo kisheria.Kama gari imegongwa si ni trafic case sasa kwa nini uporomoshe matusi na kutoa bastola.Tanzania No one is above the law.
 
Kama angemuua bado sheria ingembana maana nchi yetu inaendeshwa na sheria.Ningekuwa mimi Hando bado ningemshitaki kwa kosa la kunitishia na bastola.Mimi hata kama nimechuna gari yako ukinitukana tu nakushughulikia ipasavyo kisheria.Kama gari imegongwa si ni trafic case sasa kwa nini uporomoshe matusi na kutoa bastola.Tanzania No one is above the law.

bila shaka utakua ni hando wewe....
 
hapo kwenye vibao, safi sana,hata kama una hela,dharau sio fresh!
 
Kama angemuua bado sheria ingembana maana nchi yetu inaendeshwa na sheria.Ningekuwa mimi Hando bado ningemshitaki kwa kosa la kunitishia na bastola.Mimi hata kama nimechuna gari yako ukinitukana tu nakushughulikia ipasavyo kisheria.Kama gari imegongwa si ni trafic case sasa kwa nini uporomoshe matusi na kutoa bastola.Tanzania No one is above the law.

Bila shaka we mgeni nchi hii. naona unaleta mambo yako ya darasani kwa maisha ya kawaida. Just for ur information Nchi hii watu kibao tu wako juu ya sheria.
1. Chenge aliuwa na hakufungwa
2. Wezi wa EPA waliombwa kurudisha fedha walizoiba-hawakushitakiwa
3. Aliyemtesa ulimboka pamoja na kufahamika hajakamatwa
Bwana mdogo hii nchi ni zaidi ya uijuavyo.
 
Alizabuliwa vibao vingapi?hakulia alipozabuliwa vibao?
 
Back
Top Bottom