Mtangazaji Gerald Hando wa Clouds FM anusurika kuuawa maeneo ya Mwanyamala

Mtangazaji Gerald Hando wa Clouds FM anusurika kuuawa maeneo ya Mwanyamala

Maarufu my foot!! Mtu mwenyewe anatangaza pumba tu!! Oh my Goodness, Bora huyo mtu amenfundisha adabu, anastahili pongezi, wewe unasababisha ajali na unakataa kuonyesha ushirikiano?? Who are you!!
 
Mtangazi wa Clous FM hapo siku ya jana alinusurika kuawawa maeneo ya Mwananyamala hapo majuzi nusura auwawe na bastola na jamaa mmoja

Chanzo cha habari kinasema kuwa wakati akiwa kwenye gari lake, Hando maeneo ya Makoma gari lake lilikwaruzana na gari la jamaa mwingine. Baada inshu hii kutokea ndipo jamaa kwenye gari lingine alimfata Gerald Hando ili wasuluhishe mzozo wao...

Wakati jamaa akimwomba Hando ashuke ili waongee kiuwanaume jinsi ya kumalizana ndipo mtangazaji huyo alipoonza kumjibu dharau. Jamaa alipoona hivyoo aliamua kutoa bastola na kupiga kwenye kioo cha pembeni ....

Gerald kuona hivyo aliomba msamaha, ndipo jamaa alimmwagia matusi ya nguoni na kumpiga vibao kisha kuondokaaaa

SOURCE: GAZETI LA RISASI
Angemwasha na miguuni,ashike adabu
 
Huyu akilewa ana lopokalopoka sana.....lugha zake siyo nzuri
Natumqi kwa sasa atakuwa amebadilika

Ova
 
Back
Top Bottom