Bila shaka we mgeni nchi hii. naona unaleta mambo yako ya darasani kwa maisha ya kawaida. Just for ur information Nchi hii watu kibao tu wako juu ya sheria.
1. Chenge aliuwa na hakufungwa
2. Wezi wa EPA waliombwa kurudisha fedha walizoiba-hawakushitakiwa
3. Aliyemtesa ulimboka pamoja na kufahamika hajakamatwa
Bwana mdogo hii nchi ni zaidi ya uijuavyo.
Chezea bistola weiwee hata jamaa angetaka kabaang angekula.
Ndio mnamuita Yahaya alieimbwa na Jide??
Hahaaha yahaya unaishi wapi