Mtangazaji Jonijoo atoka Wasafi FM/TV na kuhamia ETV/EFM

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Naona Mkurugenzi wa ETV na EFM, Majizo anamtangaza Jonijoo kama mtangazaji wao mpya wa vipindi na hii ni baada ya kuhama WASAFI

===

Aliyekuwa mtangazaji wa kipindi cha Block 89 na Bartender cha Wasafi TV na Wasafi FM JONIJO ameacha rasmi leo kufanya kazi na kampuni hiyo na kuhamia EFM na TV E inayomilikiwa na MAJIZZO .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo hivi..

Mtangazaji kwenda kujiunga na Clouds ama Efm - Ni sawa na timu ndogo kwenda ligi kuu.. Yani timu iliyokuwa inashiriki daraja la kwanza, sasa inaenda kucheza igi kuu na magiant wenzake..

Lakini Mtangazaji kutoka Efm ama Clouds kwenda Wasafi Fm/tv - Hapo ni sawa na mchezaji toka ligi kuu kwenda kusajiliwa timu ya ligi daraja la kwanza

Kumbuka, kuna vitimu vya daraja la kwanza nk vinauwezo kiuchumi kuliko hata hao wanaochezea ligu kuu

Kwa hiyo huyo jamaa amepanda daraja..

Maoni yangu
 
Well said mkuu sema usisahau kunawa mikono na maji tiririka.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…