Mtangazaji Jonijoo atoka Wasafi FM/TV na kuhamia ETV/EFM

Mtangazaji Jonijoo atoka Wasafi FM/TV na kuhamia ETV/EFM

Ipo hivi..

Mtangazaji kwenda kujiunga na Clouds ama Efm - Ni sawa na timu ndogo kwenda ligi kuu.. Yani timu iliyokuwa inashiriki daraja la kwanza, sasa inaenda kucheza igi kuu na magiant wenzake..

Lakini Mtangazaji kutoka Efm ama Clouds kwenda Wasafi Fm/tv - Hapo ni sawa na mchezaji toka ligi kuu kwenda kusajiliwa timu ya ligi daraja la kwanza

Kumbuka, kuna vitimu vya daraja la kwanza nk vinauwezo kiuchumi kuliko hata hao wanaochezea ligu kuu

Kwa hiyo huyo jamaa amepanda daraja..

Maoni yangu
Akili yako haina akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watangazaji Tanzania hii hawahitaji ukubwa wa channel kufuatiliwa, popote wakiwepo wanahama na kijiji chao, wafuatao ni baadhi ya watangazaji hao:
1. Salama Jabir
2. Captain G Habash
3. Maulidi Kitenge
4. Jonijo Babako
5. Millard Ayo
Ukiwa ndio boss wa hawa watangazaji, wachukulie kama maboss wenzako, sio wafanyakazi wako.

Aisee, kwenye list mwondoe huyo no 4.
 
Taarifa zinasema kwamba mtangazaji na interviewer mwenye kipaji cha kipekee hapa bongo "Jonijoo" ametoka wasafi na kusajiliwa na Majizo wa EFM na TVE

Jonijoo kwa wakati alipokua Wasafi Media alihost vipindi kadhaa ikiwemo "The Bar tender" na baadhi ya interview za wasafi FM.
 
Naona mkurugenzi wa ETV na EFM majizo anamtangaza jonijoo kama mtangazaji wao mpya wa vipindi na hii ni baada ya kuhama WASAFI

Sent using Jamii Forums mobile app
naona tangu ameingia wasafi aliitelekeza channel yake ya youtube. Bora huko EFM nadhan atakua free kuendeleza chanel yake coz ina subs kuelekea laki 3
 
Back
Top Bottom