DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
Hoja zimekuwa ni nyingi sana juu ya bwana mdogo jonijo kuondoka wasafi,kimsingi binadamu huwa tuna kitu kinaitwa mahitaji na mahitaji ya binadamu yanazalishwa ktk kiwanda cha dream,huenda kijana alikuwa na mahitaji mengi ili atimize dreams zake, issues za kimaslai huenda zilikuwa hazikizi mahitji good for him EFM wakaweka odds nzur yeye ni nani asifuate odds zilizoshiba(human nature).
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app