Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amelipa Kiasi gan kujitoa Wasafi? Maana Wasafi walitumia hela nyingi Ku Mbrand
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule demu mchagaukipata unipe zile za yule white[emoji23][emoji23]..ana dental formula ninayoikubali
Wewe si tegemei uisifie Wasafi.Mkuu huo ndo ukweli kaupepo kamepita, Radio inategemea umaarufu wa Msanii
WanakurupukaHako kawasafi media kanasafari ndefu sana kuja kucompete na serious media.
Walianza kuboronga kuwachua karibia watangazaji 5 kutoka kituo cha Times,bora wangewachukua wawili tu,baada ya hapo waingie kitaa kutafuta vipaji vipya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umaarufu alionao sasa kaupatia YouTube? Funny 😁Alijipa umaarufu mwenye kupitia kipindi cha cha Now You Know youtube, au humjui, unataka kusema wasafi ndo wamempa umaarufu?
WAKATI YUKO WASAFI WALIKUWA WANAMPONDA KUWA HAJUI, BINADAM TUNA ROHO MBAYA SANATaarifa zinasema kwamba mtangazaji na interviewer mwenye kipaji cha kipekee hapa bongo "Jonijoo"
Alianza Mtiga sasa Jon, wataishako huko nasikia hata mishahara wanacheleweshewa hawapewi kwa WakatiWewe si tegemei uisifie Wasafi.
Hujaelewa? Basi Huna unalojua, Au na wewe ni kati ya ile misukuleUmaarufu alionao sasa kaupatia YouTube? Funny [emoji16]
Duu mshahara hapewi 🤣🤣🤣🤣🤣,una,nasikia wale watoto wa Kings nao walikuwa hapewi hata ganji wanalala sebureni au hawa hufaam.Alianza Mtiga sasa Jon, wataishako huko nasikia hata mishahara wanacheleweshewa hawapewi kwa Wakati
Abood siichukulii poa ila ni Radio ndogo ndogo sana kiongozi.Kwani Mkuu Abood unaichukulia simple simple eehh..? Endelea hivyo hivyo na zarau zako
KalagabahoHujaelewa? Basi Huna unalojua, Au na wewe ni kati ya ile misukule
.ukipata unipe zile za yule white[emoji23][emoji23]..ana dental formula ninayoikubali
Vitonga mnashida nyinyi!Mbona picha kwang sion.. Shida ni freebasis ama nini..
Hii n sawa na kutwanga maji kwenye kinuBado hatamsaidia huyu.
Avunje tu kibubu amung'oe dozen na demu mmoja wapo pale xxl
Ishu ni kusikika mikoa yote au ubora?..mbona Tbc Fm inasikika mikoa karibia yote?Ni kweli usemalo inaweza kuifikia clouds na Efm mpaka pale itakapo sikika mikoa yote.
Kivipi? Huyo dozen atawasaidia pia kutengeneza contents kali na ishu ya branding pia na sio kuropoka tu kwa micHii n sawa na kutwanga maji kwenye kinu
stidy