playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Hapo except Aaliyah, mbona namsikia calypso kwenye zile MCM na WCWInasemekana baada ya kuja lil ommy kipindi cha block 89 kilitakiwa kiwe kinafanyika siku ya jumamosi hivyo jonijo hakukubaliana nalo ikapelekea kusimamishwa kazi pamoja na wenzake expt Aliyah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sisi wapenda mpira ABOOD kwetu bonge la redio na YAHAYA LIMANGWE ni Bonge la mtangazaji watu wanatutangazia hadi game za klabu bingwa Afrika tena wanasafiri kabisaaaa huyo hajui anachoongea
Sent using Jamii Forums mobile app
demu wako akimjua inatoshaDuh hivi Kuna wati bado mnafuatilia tv namna hii!! Mie hata huyo joni simjui kabisaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila ya kwenda wasafi kuna mtu angemjadili humu?
kama ulikuwa humjui uko YouTube basi wewe ni benderaUmaarufu alionao sasa kaupatia YouTube? Funny [emoji16]
Anzisha uzi wa kingsDuu mshahara hapewi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],una,nasikia wale watoto wa Kings nao walikuwa hapewi hata ganji wanalala sebureni au hawa hufaam.
Ila jamaa unadata za WCB,ila za King's hauna.
Mimi sitegemei uwasigie Wasafi na haitokuja kutokea.
Jonijoo amekuwa branded na Wasafi na si Radio yoyote wala Youtube.Labda ww ndo umemjua kupitia wasafi..mabos wako wenyewe walimjua kabla ndo maana wakamsaini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Not everyone watches YouTube wewe kiswaswadu.kama ulikuwa humjui uko YouTube basi wewe ni bendera
Anakula sembeAlipohama Mtiga Abdallah wasafi -> EFM walisema amefukuzwa kwa ulevi, huyu naye sijui watasemaje!
Yan jamaa wanapewa kabsa100%
Umedandia treni kwa mbele.Anzisha uzi wa kings
Siku shangai hata ww.Me pia SISHANGAI unapolazimisha tusifie...tuendelee kutoshangaana bro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuanzia kwa wasafi, bali wasafi walimuiba sehemu jamaa akiwa na brandedAmelipa Kiasi gan kujitoa Wasafi? Maana Wasafi walitumia hela nyingi Ku Mbrand
Sent using Jamii Forums mobile app
alianza kuwa maarufu akiwa anafanya kipind cha NOW U NO onlineHaya ana kipaji alafu anafanya kazi Radio Abood angefahamika kiasi hiki?
Alikuwa Times alikuwa na huu umaarufu?
subiria mfungo uishe