Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mtangazi mmoja wa mechi ya leo kati ya Argentina na Australia, anaonekana kuwa ni shabiki wa Messi na Argentina kwa jumla. Muda mwingi anatumia kumsifia Messi hasa katika kipindi cha kwanza. Kweli Messi ni mchezaji maarufu ila kumsifia kupita kiasi wewe kama mtangazji ni sahihi?
Mchezaji akifanya vitu adimu kumsifia ni sahihi na kawaida, ila kutumia muda mwingi kumsifia mchezaji hata kama hana mpira sio kuwakera washabiki wa timu pinzani?
Messi kweli ni staa, lakini wazungu wanasema, "too much of everything is harmful".
Mtu maarufu akifanya au kusema jambo la kawaida tu, basi jambo hilo linaweza kugeuka kuwa ni jambo kubwa. Halikadhalika, mchezaji Maarufu (Star) akifunga bao la kawaida tu, basi bao hilo litasifiwa utadhani yeye ndio wa kwanza kufunga.
Usisahau wachambuzi wa soka nao ni watu wa kwenda na upepo wa soka.
Hongera Messi, ila mtangazai tambua unasikilizwa na mashabiki wa timu zote mbili, hivyo watendee haki (usiwe bias).
Mtangazi hupaswi kuwa mshabiki ingawa kuchagiza ni muhimu (ficha mahaba yako).
Mchezaji akifanya vitu adimu kumsifia ni sahihi na kawaida, ila kutumia muda mwingi kumsifia mchezaji hata kama hana mpira sio kuwakera washabiki wa timu pinzani?
Messi kweli ni staa, lakini wazungu wanasema, "too much of everything is harmful".
Mtu maarufu akifanya au kusema jambo la kawaida tu, basi jambo hilo linaweza kugeuka kuwa ni jambo kubwa. Halikadhalika, mchezaji Maarufu (Star) akifunga bao la kawaida tu, basi bao hilo litasifiwa utadhani yeye ndio wa kwanza kufunga.
Usisahau wachambuzi wa soka nao ni watu wa kwenda na upepo wa soka.
Hongera Messi, ila mtangazai tambua unasikilizwa na mashabiki wa timu zote mbili, hivyo watendee haki (usiwe bias).
Mtangazi hupaswi kuwa mshabiki ingawa kuchagiza ni muhimu (ficha mahaba yako).