Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Messi ata akibanja ni news ujui?😀😀😀Mtangazi mmoja wa mechi ya leo kati ya Argentina na Australia, anaonekana kuwa ni shabiki wa Messi na Argentina kwa jumla. Muda mwingi anatumia kumsifia Messi hasa katika kipindi cha kwanza. Kweli Messi ni mchezaji maarufu ila kumsifia kupita kiasi wewe kama mtangazji ni sahihi?
Mchezaji akifanya vitu adimu kumsifia ni sahihi na kawaida, ila kutumia muda mwingi kumsifia mchezaji hata kama hana mpira sio kuwakera washabiki wa timu pinzani?
Messi kweli ni staa, lakini wazungu wanasema, "too much of everything is harmful".
Mtu maarufu akifanya au kusema jambo la kawaida tu, basi jambo hilo linaweza kugeuka kuwa ni jambo kubwa. Halikadhalika, mchezaji Maarufu (Star) akifunga bao la kawaida tu, basi bao hilo litasifiwa utadhani yeye ndio wa kwanza kufunga.
Usisahau wachambuzi wa soka nao ni watu wa kwenda na upepo wa soka.
Hongera Messi, ila mtangazai tambua unasikilizwa na mashabiki wa timu zote mbili, hivyo watendee haki (usiwe bias).
Mtangazi hupaswi kuwa mshabiki ingawa kuchagiza ni muhimu (ficha mahaba yako).
Sijui alikuwa amelewa?Hata mi nilimshangaa
Aliongea mambo mengi sana
Mara ndo pekee kuwahi tokea
Mara hatatokea mtu kama yeye
Mara libarikiwe tumbo lilomzaa
Mtangazi mmoja wa mechi ya leo kati ya Argentina na Australia, anaonekana kuwa ni shabiki wa Messi na Argentina kwa jumla. Muda mwingi anatumia kumsifia Messi hasa katika kipindi cha kwanza. Kweli Messi ni mchezaji maarufu ila kumsifia kupita kiasi wewe kama mtangazji ni sahihi?
Mchezaji akifanya vitu adimu kumsifia ni sahihi na kawaida, ila kutumia muda mwingi kumsifia mchezaji hata kama hana mpira sio kuwakera washabiki wa timu pinzani?
Messi kweli ni staa, lakini wazungu wanasema, "too much of everything is harmful".
Mtu maarufu akifanya au kusema jambo la kawaida tu, basi jambo hilo linaweza kugeuka kuwa ni jambo kubwa. Halikadhalika, mchezaji Maarufu (Star) akifunga bao la kawaida tu, basi bao hilo litasifiwa utadhani yeye ndio wa kwanza kufunga.
Usisahau wachambuzi wa soka nao ni watu wa kwenda na upepo wa soka.
Hongera Messi, ila mtangazai tambua unasikilizwa na mashabiki wa timu zote mbili, hivyo watendee haki (usiwe bias).
Mtangazi hupaswi kuwa mshabiki ingawa kuchagiza ni muhimu (ficha mahaba yako).
Kweli alizidi huyo mtangazaji na kibaya zaidi anawaponda wachezaji wa timu pinzani kuwa Wana uwezo mdogo. Inabidi ajitathminiMtangazi mmoja wa mechi ya leo kati ya Argentina na Australia, anaonekana kuwa ni shabiki wa Messi na Argentina kwa jumla. Muda mwingi anatumia kumsifia Messi hasa katika kipindi cha kwanza. Kweli Messi ni mchezaji maarufu ila kumsifia kupita kiasi wewe kama mtangazji ni sahihi?
Mchezaji akifanya vitu adimu kumsifia ni sahihi na kawaida, ila kutumia muda mwingi kumsifia mchezaji hata kama hana mpira sio kuwakera washabiki wa timu pinzani?
Messi kweli ni staa, lakini wazungu wanasema, "too much of everything is harmful".
Mtu maarufu akifanya au kusema jambo la kawaida tu, basi jambo hilo linaweza kugeuka kuwa ni jambo kubwa. Halikadhalika, mchezaji Maarufu (Star) akifunga bao la kawaida tu, basi bao hilo litasifiwa utadhani yeye ndio wa kwanza kufunga.
Usisahau wachambuzi wa soka nao ni watu wa kwenda na upepo wa soka.
Hongera Messi, ila mtangazai tambua unasikilizwa na mashabiki wa timu zote mbili, hivyo watendee haki (usiwe bias).
Mtangazi hupaswi kuwa mshabiki ingawa kuchagiza ni muhimu (ficha mahaba yako).