Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM unapata wapi uhalali wa Kukicheka Kiingereza hafifu cha Kocha wa Simba SC wakati Wewe ndiyo hukijui kabisa?

Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM unapata wapi uhalali wa Kukicheka Kiingereza hafifu cha Kocha wa Simba SC wakati Wewe ndiyo hukijui kabisa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kitenge nina uhakika pamoja na kwenda Kwako Ulaya / Marekani / Asia kila mara tukikuweka Wewe na Kocha wa Simba SC Mbrazil Roberto Olivieira bado atakuzidi na humuwezi hivyo tunakushangaa Kumkejeli Kocha Olivieira hewani kama ufanyavyo sasa.

Hakuna asiyejua kuwa Wabrazil Lugha yao Mama ni Kireno na tena tunampongeza kwa Kujitahidi Kuongea Kiingereza chake hafifu ila tunashangaa kuona Kocha Mkuu wa Yanga SC (Timu yako) anaogopa kabisa hata Kuthubutu Kukiongea hiko Kiingereza chenyewe na badala yake anang'ang'ania tu Kubwabwaja kutwa na Kifaransa chake ambacho hata Mimi GENTAMYCINE nakijua kidogo ila sikishobokei bali nabakia na Kiswahili changu, Kiingereza, Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi.

Kutwa uko Ulaya ila Kiingereza hukijui.
 
Kitenge nimesoma naye Al Haramain, aliscrore division 0, bahati nzuri nikakutana naye tena The Guardian Ltd wote tukiandikia gazeti moja la jioni likiitwa Alasiri, yeye akiandika michezo na mimi nikiandika habari za mahakamani, Kitenge akabebwa na Aboubakary Liongo akipeleka habari za michezo kipindi cha sport radio one, akabebwa na Abdallah Majura hivyo hivyo, akabebwa na mwana yanga mwenzake pale The Guardian Ltd, Angetile Osiah.
Kitenge hana uwezo wowote zaidi ya bla bla tu ndio maana hata serikali imeshindwa kumpa maisha kwa sababu hana vyeti.Ukimuuliza anasema amesoma Zambia.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Kitenge nimesoma naye Al Haramain, aliscrore division 0, bahati nzuri nikakutana naye tena The Guardian Ltd wote tukiandikia gazeti moja la jioni likiitwa Alasiri, yeye akiandika michezo na mimi nikiandika habari za mahakamani, Kitenge akabebwa na Aboubakary Liongo akipeleka habari za michezo kipindi cha sport radio one, akabebwa na Abdallah Majura hivyo hivyo, akabebwa na mwana yanga mwenzake pale The Guardian Ltd, Angetile Osiah.
Kitenge hana uwezo wowote zaidi ya bla bla tu ndio maana hata serikali imeshindwa kumpa maisha kwa sababu hana vyeti.Ukimuuliza anasema amesoma Zambia.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Nashukuru kwa Kuusema huu Ukweli ambao Wadau wengi wa Tasnia ya Habari tunaujua japo najua wapo ambao Watakubishia.

Mengine yanayomhusu ngoja tumstahi na tumsitiri ili Safari zake za mara kwa mara kwenda Ulaya na Marekani zikafikia Ukomo.
 
Shida ni kwamba Kuna Wakati unasahau ukweli na uhalisia wako, unaanza kuona wengine hawajui. Kumbe yako unafunika kabisa. Tuishi tu, ni mpumbavu tu anayeweza kumcheka mtu Kwa kutokujua lugha Fulani.
 
Kitenge nimesoma naye Al Haramain, aliscrore division 0, bahati nzuri nikakutana naye tena The Guardian Ltd wote tukiandikia gazeti moja la jioni likiitwa Alasiri, yeye akiandika michezo na mimi nikiandika habari za mahakamani, Kitenge akabebwa na Aboubakary Liongo akipeleka habari za michezo kipindi cha sport radio one, akabebwa na Abdallah Majura hivyo hivyo, akabebwa na mwana yanga mwenzake pale The Guardian Ltd, Angetile Osiah.
Kitenge hana uwezo wowote zaidi ya bla bla tu ndio maana hata serikali imeshindwa kumpa maisha kwa sababu hana vyeti.Ukimuuliza anasema amesoma Zambia.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Maisha haya [emoji23][emoji23]sasa wewe ulie faulu una nini?
 
Kitenge anafanya ushamba wa kitoto, Kocha mbrazil lugha yake ni kireno na kiingereza kwao sio issue ya kupapatikia kama sisi, na ni rahisi mbrazil kuongea lugha mbili yaani kireno na kispanish , kikubwa kiingereza anajua cha kuwasiliana tu inatosha, kua na ngozi nyeupe sio kufahamu kiingereza.
 
Kitenge nimesoma naye Al Haramain, aliscrore division 0, bahati nzuri nikakutana naye tena The Guardian Ltd wote tukiandikia gazeti moja la jioni likiitwa Alasiri, yeye akiandika michezo na mimi nikiandika habari za mahakamani, Kitenge akabebwa na Aboubakary Liongo akipeleka habari za michezo kipindi cha sport radio one, akabebwa na Abdallah Majura hivyo hivyo, akabebwa na mwana yanga mwenzake pale The Guardian Ltd, Angetile Osiah.
Kitenge hana uwezo wowote zaidi ya bla bla tu ndio maana hata serikali imeshindwa kumpa maisha kwa sababu hana vyeti.Ukimuuliza anasema amesoma Zambia.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Nyie ndo wale watu wanaoabudu makaratasi bila kuangalia uwezo binafsi wa mtu. Kitenge amebarikiwa na ni mweledi katika mambo mengi ndo sababu anabebeka. Wewe endelea na makaratasi yako, mwenzio anasonga mbele.[emoji3526][emoji3526]
 
Mwelezeni kitenge aje hapa nimfundishe maana ya language diversity katika dunia, ndio maana kuna kifaransa, kijermani, kireno, kihispania, kiingereza, kichina, kihindi, hizo ni lugha ambazo ni key languages kwa sasa duniani, kihindi na kichina ni lugha mbili zenye wazungumzaji karibu 2.9 bilion duniani kote na waliobaki hugawana lugha zilizobaki, sasa kuna watu wanaomudu kuzungumza lugha zaidi ya moja kwa ufasaha mfano mchezaji mbape huongea kifaransa, kihispania na kiingereza kwa ufasaha, C Ronaldo wakati anajiunga man UTD alifahamu kireno pekee lakini kwa sasa anaongea kiingereza, kispanish, kireno na kiitaliano na sio kosa kwa mzungumzaji kutofahamu lugha fulani na sio suala la kucheka
 
Back
Top Bottom