Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM unapata wapi uhalali wa Kukicheka Kiingereza hafifu cha Kocha wa Simba SC wakati Wewe ndiyo hukijui kabisa?

Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM unapata wapi uhalali wa Kukicheka Kiingereza hafifu cha Kocha wa Simba SC wakati Wewe ndiyo hukijui kabisa?

Kitenge nina uhakika pamoja na kwenda Kwako Ulaya / Marekani / Asia kila mara tukikuweka Wewe na Kocha wa Simba SC Mbrazil Roberto Olivieira bado atakuzidi na humuwezi hivyo tunakushangaa Kumkejeli Kocha Olivieira hewani kama ufanyavyo sasa.

Hakuna asiyejua kuwa Wabrazil Lugha yao Mama ni Kireno na tena tunampongeza kwa Kujitahidi Kuongea Kiingereza chake hafifu ila tunashangaa kuona Kocha Mkuu wa Yanga SC ( Timu yako ) anaogopa kabisa hata Kuthubutu Kukiongea hiko Kiingereza chenyewe na badala yake anang'ang'ania tu Kubwabwaja kutwa na Kifaransa chake ambacho hata Mimi GENTAMYCINE nakijua kidogo ila sikishobokei bali nabakia na Kiswahili changu, Kiingereza, Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi.

Kutwa uko Ulaya ila Kiingereza hukijui.
Naskia jamaa anafumuliwa marinda 🤔
 
Unajuaje hana kitu kweye hii anonymity? Hivi mbona huwa mnakua na akili za kijinga hivi? Yaani unaamini maisha yako magumu ni kwa kila mtu[emoji28].

Si ajabu hata huyo kitenge unaemuona ana maisha mazuri kuliko huyo jamaa nae akawa humu, ila kwakua ni fake I'ds unaweza kumtukana tu na kumtwisha huo umasikini wako.

Acha ushamba wa maisha.
Maisha ya mtu utayajua kwenye maandishi tu lawama nyingi, kuchukia watu tafta comments yangu kama utakuta elements hizo mimi sina pesa nyingi ila sina njaa
 
Maisha ya mtu utayajua kwenye maandishi tu lawama nyingi, kuchukia watu tafta comments yangu kama utakuta elements hizo mimi sina pesa nyingi ila sina njaa

Kupitia comments zako nikifikia hitimisho la moja kwa moja kuwa wewe ni fukara, nitakuwa sahihi??


Kama sutakuwa sahihi, basi ujue kabisa kuwa huwezi kuyajua maisha ya mtu kiuchumi kwa kuangalia comments, kuna watu wanakuja kufanya upumbavu wao humu kwasababu huko nje na kwenye mitndao mingine hawawezi.
 
Kupitia comments zako nikifikia hitimisho la moja kwa moja kuwa wewe ni fukara, nitakuwa sahihi??


Kama sutakuwa sahihi, basi ujue kabisa kuwa huwezi kuyajua maisha ya mtu kiuchumi kwa kuangalia comments, kuna watu wanakuja kufanya upumbavu wao humu kwasababu huko nje na kwenye mitndao mingine hawawezi.
Tufanye umeshida
 
Mwelezeni kitenge aje hapa nimfundishe maana ya language diversity katika dunia, ndio maana kuna kifaransa, kijermani, kireno, kihispania, kiingereza, kichina, kihindi, hizo ni lugha ambazo ni key languages kwa sasa duniani, kihindi na kichina ni lugha mbili zenye wazungumzaji karibu 2.9 bilion duniani kote na waliobaki hugawana lugha zilizobaki, sasa kuna watu wanaomudu kuzungumza lugha zaidi ya moja kwa ufasaha mfano mchezaji mbape huongea kifaransa, kihispania na kiingereza kwa ufasaha, C Ronaldo wakati anajiunga man UTD alifahamu kireno pekee lakini kwa sasa anaongea kiingereza, kispanish, kireno na kiitaliano na sio kosa kwa mzungumzaji kutofahamu lugha fulani na sio suala la kucheka
Linguist ndiyo mnajua hilo ila sisi wa moja ikibaki kichwani itakuwa mbili mbele ni washamba sana
 
Kitenge nimesoma naye Al Haramain, aliscrore division 0, bahati nzuri nikakutana naye tena The Guardian Ltd wote tukiandikia gazeti moja la jioni likiitwa Alasiri, yeye akiandika michezo na mimi nikiandika habari za mahakamani, Kitenge akabebwa na Aboubakary Liongo akipeleka habari za michezo kipindi cha sport radio one, akabebwa na Abdallah Majura hivyo hivyo, akabebwa na mwana yanga mwenzake pale The Guardian Ltd, Angetile Osiah.
Kitenge hana uwezo wowote zaidi ya bla bla tu ndio maana hata serikali imeshindwa kumpa maisha kwa sababu hana vyeti.Ukimuuliza anasema amesoma Zambia.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Duuu, Zambia tena?
 
Shida ni kwamba Kuna Wakati unasahau ukweli na uhalisia wako, unaanza kuona wengine hawajui. Kumbe yako unafunika kabisa. Tuishi tu, ni mpumbavu tu anayeweza kumcheka mtu Kwa kutokujua lugha Fulani.
Kweli kabisa, mimi sijui kichina lakini watu hawanicheki
 
Nyie ndo wale watu wanaoabudu makaratasi bila kuangalia uwezo binafsi wa mtu. Kitenge amebarikiwa na ni mweledi katika mambo mengi ndo sababu anabebeka. Wewe endelea na makaratasi yako, mwenzio anasonga mbele.[emoji3526][emoji3526]
Kitenge kasonga MBELE KUELEKEA wapi? Utangazaji redioni au videoni Nako ni kusonga MBELE?
 
Back
Top Bottom