Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM unapata wapi uhalali wa Kukicheka Kiingereza hafifu cha Kocha wa Simba SC wakati Wewe ndiyo hukijui kabisa?

Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM unapata wapi uhalali wa Kukicheka Kiingereza hafifu cha Kocha wa Simba SC wakati Wewe ndiyo hukijui kabisa?

Tabia hizi mara nyingi hufanywa ana watu wenye matatizo ya akili
Kama waliokuleta Duniani. Naona tokea nikushinde katika Shindano la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums ukijidanganya kuwa Ungeshinda Wewe kwa Kigezo kuwa Nachukiwa umekuwa na Hasira mno na Mimi GENTAMYCINE.

Labda nife Leo ila JamiiForums wakiandaa tena hili Shindano na tukiwa Nominated tena kama ilivyokuwa bado nakuhakikishia Masikini wa Akili ( Nut ) Wewe kuwa nitakushinda tu.
 
Jemedari na Oruma ndio empty kabisa,hata kwenye mic
 
Jemedari na Oruma ndio empty kabisa,hata kwenye mic
Kwakuwa tu wanaisema na kusema Ukweli kuhusu Yanga SC yako? Acha / Acheni Unafiki hawana baya lolote lile na wenye Akili tunawakubali mno.

Je, wangekuwa wanaisema Yanga SC yako kwa mazuri kama utakavyo / mnavyotaka Ungewachukia hivi?

Na usichokijua / msichokijua ni Wawili wote hawa Jemedari Said na Wilson Oruma si tu ni Mashabiki wa Yanga SC bali pia ni Wanachama kabisa wa Yanga SC ila tu ni Watu Wasema Ukweli na Wasiotaka Unafiki kama nilivyo Mimi GENTAMYCINE.

Kwa Tanzania ya sasa ukiwa Muwazi, Msema Kweli / Ukweli, siyo Mnafiki na hupendi Kujipendekeza kwa Mtu / Watu ni lazima tu Utachukiwa na Waswahili na Wapuuzi.

Badilikeni.
 
Kwakuwa tu wanaisema na kusema Ukweli kuhusu Yanga SC yako? Acha / Acheni Unafiki hawana baya lolote lile na wenye Akili tunawakubali mno.

Je, wangekuwa wanaisema Yanga SC yako kwa mazuri kama utakavyo / mnavyotaka Ungewachukia hivi?

Na usichokijua / msichokijua ni Wawili wote hawa Jemedari Said na Wilson Oruma si tu ni Mashabiki wa Yanga SC bali pia ni Wanachama kabisa wa Yanga SC ila tu ni Watu Wasema Ukweli na Wasiotaka Unafiki kama nilivyo Mimi GENTAMYCINE.

Kwa Tanzania ya sasa ukiwa Muwazi, Msema Kweli / Ukweli, siyo Mnafiki na hupendi Kujipendekeza kwa Mtu / Watu ni lazima tu Utachukiwa na Waswahili na Wapuuzi.

Badilikeni.
Hoja ya Kikolo hii!!
 
Back
Top Bottom