Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM unapata wapi uhalali wa Kukicheka Kiingereza hafifu cha Kocha wa Simba SC wakati Wewe ndiyo hukijui kabisa?

Naskia jamaa anafumuliwa marinda 🤔
 
Maisha ya mtu utayajua kwenye maandishi tu lawama nyingi, kuchukia watu tafta comments yangu kama utakuta elements hizo mimi sina pesa nyingi ila sina njaa
 
Maisha ya mtu utayajua kwenye maandishi tu lawama nyingi, kuchukia watu tafta comments yangu kama utakuta elements hizo mimi sina pesa nyingi ila sina njaa

Kupitia comments zako nikifikia hitimisho la moja kwa moja kuwa wewe ni fukara, nitakuwa sahihi??


Kama sutakuwa sahihi, basi ujue kabisa kuwa huwezi kuyajua maisha ya mtu kiuchumi kwa kuangalia comments, kuna watu wanakuja kufanya upumbavu wao humu kwasababu huko nje na kwenye mitndao mingine hawawezi.
 
Tufanye umeshida
 
Linguist ndiyo mnajua hilo ila sisi wa moja ikibaki kichwani itakuwa mbili mbele ni washamba sana
 
Duuu, Zambia tena?
 
Shida ni kwamba Kuna Wakati unasahau ukweli na uhalisia wako, unaanza kuona wengine hawajui. Kumbe yako unafunika kabisa. Tuishi tu, ni mpumbavu tu anayeweza kumcheka mtu Kwa kutokujua lugha Fulani.
Kweli kabisa, mimi sijui kichina lakini watu hawanicheki
 
Nyie ndo wale watu wanaoabudu makaratasi bila kuangalia uwezo binafsi wa mtu. Kitenge amebarikiwa na ni mweledi katika mambo mengi ndo sababu anabebeka. Wewe endelea na makaratasi yako, mwenzio anasonga mbele.[emoji3526][emoji3526]
Kitenge kasonga MBELE KUELEKEA wapi? Utangazaji redioni au videoni Nako ni kusonga MBELE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…