Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Wewe unalijua Hilo jimama au hadithi tuUngemstua lile jimama limemaliza watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unalijua Hilo jimama au hadithi tuUngemstua lile jimama limemaliza watu
Yupo Channel 10 kajibanza huko
Hawa watu wametuchosha, baadala ya kuongelea mbinu za kuishinda corona wao wanashabikia ili ati kumkomoa Magufuli
Mbona alikuwa kashatoka Star TV kitambo sana akenda TV1.
Last week nilimuona PJ maeneo karibu na KAMANGA amedhoof na anatembea kwa kujificha ficha...... muda mwingi ametazama Chini. nini shida Jamani kwa Watangazaji wetu?InnaLILLAHI...
Kuna kipindi alikuwa anatembea na mama moja lipo pale kwa OMR alishaunguaga yule dada nilijua jamaa hatotoka salama maana wengi waliopita pale waliondoka
Watu waache kupenda miteremko na kulelewa. Mwanaume ale kwa jasho kama ilivyo amriwa toka awali.Mimi mwenyewe naunga mkono watu wanaosambaza ngoma kusudi wawekwe wazi na washitakiwe kwa mujibu wa sheria mpya!! Wanaangamiza nguvu kazi.
Hivj pj ashawahi nenepa kweli!? Na mbona kama siku hizi huwa na kipindi cha live kwa tv? Au huwa wana fanya editing!?!?Last week nilimuona PJ maeneo karibu na KAMANGA amedhoof na anatembea kwa kujificha ficha...... muda mwingi ametazama Chini. nini shida Jamani kwa Watangazaji wetu?
Hivj pj ashawahi nenepa kweli!? Na mbona kama siku hizi huwa na kipindi cha live kwa tv? Au huwa wana fanya editing!?!?
Tatizo Dental formula.RIP jamaa alikuwa na haiba ya mtangazaji mahiri sana.
Hamfahamu kwakweli.PJ ni mwembamba sana kama mpemba hivi alafu tall ,inaonekana jamaa hamjui PJ vizuri.
Ukweli unaumaUVCCM bhana!!!!!
Ukiona hivyo ujue nae washamuunga na grid ya taifa..anahangaika nae kugawa umemeLast week nilimuona PJ maeneo karibu na KAMANGA amedhoof na anatembea kwa kujificha ficha...... muda mwingi ametazama Chini. nini shida Jamani kwa Watangazaji wetu?
Jamaa alikuwa anavuta bhangi hadi unamuhurumiaLazaro matalange yupo wapi?
Hii meseji umeisave sehemu? Ili uwe una i paste tu maana vifo vingi sana aisee
Huyu mama wa OMR ndio alimtoa Mwanza akamleta mjini akamuunganishia huo mchongo wa pale TV1 baada ya muda jamaa akazoea jiji akampata jimama mwengine anaishi USA ndio akamuoa na kutimkia kwa huko..wakati anaoa alishaunganishwa na dally kimokoMbona alikuwa kashatoka Star TV kitambo sana akenda TV1.
Huyu mama wa OMR ndio alimtoa Mwanza akamleta mjini akamuunganishia huo mchongo wa pale TV1 baada ya muda jamaa akazoea jiji akampata jimama mwengine anaishi USA ndio akamuoa na kutimkia kwa huko..wakati anaoa alishaunganishwa na dally kimoko
Wakikusikia wewe....!!!!Ni kifo cha ghafla au ni pneumonia?
pj huyu wa mawingu Fm?Last week nilimuona PJ maeneo karibu na KAMANGA amedhoof na anatembea kwa kujificha ficha...... muda mwingi ametazama Chini. nini shida Jamani kwa Watangazaji wetu?