Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,452
- 2,197
uko marekan alikua anafanya kazi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine wapo jengo linalotunza pesa zetu wanakwapua vijana kama mwewe. Kuna mshikaji wangu alipewa mpaka gari na kusomeshewa mtoto tunavyoongea hapa yupo R.I.P kuna haja hawa wamama na wababa wanaotembea na viwavi hatarishi wawekwe peupe.Ni Ofisi ya Makamu Rais....Ushaambiwa kawamaliza Vijana wa Makumbusho sana.
2. Sijui nani Msabaha yule wa Bolingo time1)Samadu Hassan.
Yupo Channel 10 kajibanza hukoLazaro matalange yupo wapi?
Utata wa nini? Wewe ni mmoja wa wanafamilia?Ni vyema wanaoleta habari za tanzia kutaja chanzo cha kifo kuepusha kuleta utata
Huna lolote unataka maisha rahisi unajua utahongwa,Bro please picha ya huyo mama please bro ama jina tu ni mgoogle. Kama amefungasha mzigo na bado analipa niko radhi kuunganishwa kwenye gridi ya taifa. Kwani hata usipokufa na ngoma bado tu utakufa tu hutaishi milele.
Please iyo picha mkuu. Natanguliza Shukrani zangu za dhati kabisa.
mrangi King Kong III
Pathetic hawara ya bibi yako mzaa babu yako?Huna lolote unataka maisha rahisi unajua utahongwa,
Pathetic kabisa.
Hahahaha hilooooooooPathetic hawara ya bibi yako mzaa babu yako?
Qengay
Tayari nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho nilikuwa nataka na kutafutaHahahaha hiloooooooo
Ukweli unauma,
Tamaa mbele mauti nyuma.
Mkuu unamzungumzia Barghash sultan wa Zanzibar!!? Ama!!!?Dah! Akapumzike kwa Aman muhsin vip jumaa Ahmed baragash yuko wapi siku hizi
Ningekujibu ila huku wametukataza hilo neno.
Ungemstua lile jimama limemaliza watuInnaLILLAHI...
Kuna kipindi alikuwa anatembea na mama moja lipo pale kwa OMR alishaunguaga yule dada nilijua jamaa hatotoka salama maana wengi waliopita pale waliondoka
Kuna wengine wapo jengo linalotunza pesa zetu wanakwapua vijana kama mwewe. Kuna mshikaji wangu alipewa mpaka gari na kusomeshewa mtoto tunavyoongea hapa yupo R.I.P kuna haja hawa wamama na wababa wanaotembea na viwavi hatarishi wawekwe peupe.
Asipoelewa basi tena, RIP Muksini, wa Mwanza tutakukumbuka sanaTunakuombea kwa mola nawe upate pneumonia ili wengine nao waulize hilo swali.
Acheni kufanya watu hata wakaogopa kuzika ndugu zao kisa Corona
Nini kilimuua msamaha??[emoji24][emoji24][emoji24]2. Sijui nani Msabaha yule wa Bolingo time
Hawa watu wametuchosha, baadala ya kuongelea mbinu za kuishinda corona wao wanashabikia ili ati kumkomoa MagufuliAsipoelewa basi tena, RIP Muksini, wa Mwanza tutakukumbuka sana