TANZIA Mtangazaji Mukhsin Mambo alias MC Hammer afariki dunia nyumbani kwake Marekani

TANZIA Mtangazaji Mukhsin Mambo alias MC Hammer afariki dunia nyumbani kwake Marekani

Ni Ofisi ya Makamu Rais....Ushaambiwa kawamaliza Vijana wa Makumbusho sana.
Kuna wengine wapo jengo linalotunza pesa zetu wanakwapua vijana kama mwewe. Kuna mshikaji wangu alipewa mpaka gari na kusomeshewa mtoto tunavyoongea hapa yupo R.I.P kuna haja hawa wamama na wababa wanaotembea na viwavi hatarishi wawekwe peupe.
 
Bro please picha ya huyo mama please bro ama jina tu ni mgoogle. Kama amefungasha mzigo na bado analipa niko radhi kuunganishwa kwenye gridi ya taifa. Kwani hata usipokufa na ngoma bado tu utakufa tu hutaishi milele.

Please iyo picha mkuu. Natanguliza Shukrani zangu za dhati kabisa.

mrangi King Kong III
Huna lolote unataka maisha rahisi unajua utahongwa,
Pathetic kabisa.
 
Nakumbuka kipind kile cha zile. Drama za uphillipino za. PANGAKO SAYOOO , .THE PROMISE MWAMBA ALIKUWA MTANGAZAJI HATARIIII .KWENYE UP NEXT. RIP .NGULI.....
 
Kumbe jamaa alikuwa anapiga box state, chama cha watizedi huko state watakuwa wako kwenye mchakato wa kusafirisha mwili ilhali kama alijiunga na hicho chama.
Kusafirisha mwili kuja bongo ni pesa nyingi sana kwa kweli.
Kila la heri kwenye familia
 
Sikujua kama huyu jamaa aliikimbia Tz kama mabaharia wezake!!
 
Rest easy bro...Gone to soon...Mwanza Mwanza tutakukumbuka kwa kutupaishia RFA yetu..nway Tunashukuru pia kwa kufariki ukiwa Marekani maana ungetutoka ukiwa Tz huu uzi ungekua na maneno ya Shombo mpaka Malaika mtoa roho angejiinamia kwa aibu...Rest in peace bro.
 
Kuna wengine wapo jengo linalotunza pesa zetu wanakwapua vijana kama mwewe. Kuna mshikaji wangu alipewa mpaka gari na kusomeshewa mtoto tunavyoongea hapa yupo R.I.P kuna haja hawa wamama na wababa wanaotembea na viwavi hatarishi wawekwe peupe.

Dooh inasikitisha sana,pole kwa rafiki yako!! Inabidi waanikwe kwenye websites za nje na sio za ndani maana kwa ndani lazima rungu la TCRA litahusika lakini web za kenya hawazuiliwi.
 
Tunakuombea kwa mola nawe upate pneumonia ili wengine nao waulize hilo swali.

Acheni kufanya watu hata wakaogopa kuzika ndugu zao kisa Corona
Asipoelewa basi tena, RIP Muksini, wa Mwanza tutakukumbuka sana
 
Asipoelewa basi tena, RIP Muksini, wa Mwanza tutakukumbuka sana
Hawa watu wametuchosha, baadala ya kuongelea mbinu za kuishinda corona wao wanashabikia ili ati kumkomoa Magufuli
 
Back
Top Bottom