TANZIA Mtangazaji Mukhsin Mambo alias MC Hammer afariki dunia nyumbani kwake Marekani

TANZIA Mtangazaji Mukhsin Mambo alias MC Hammer afariki dunia nyumbani kwake Marekani

InnaLILLAHI...
Kuna kipindi alikuwa anatembea na mama moja lipo pale kwa OMR alishaunguaga yule dada nilijua jamaa hatotoka salama maana wengi waliopita pale waliondoka
Dah, vifua vya watu vinaficha mambo mengi sana, kwahivyo asingefariki ungeendelea kupiga kimya?

Apumzike kwa amani..!
 
Pole sana kwa familia yake pia kwa wafanyakazi wa startv kwa kupoteza hazina.
kifo ni somo tosha kwa sisi tulio baki hai, usiringe ukadhani utaishi Milele hapa duniani, usijeone mzima wa afya ukajifanya wewe ni mwamba na utaishi sana miaka 150!! unakosea,
tuishi maisha ya kumpendeza Mungu wakati wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kifo ni mawaidha tosha. Mwenyezi Mungu amujaalie kauli thabiti ndugu yetu. Ameeeen
 
MC Hammer yupi tena. Mi namjua aliyeimbwa kwenye wimbo wa Young Thug wa Safe kwamba alifirisika. Au ndio zile wabongo kuwa na majina ya mastaa wa mbele
 
Back
Top Bottom