Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Dah, vifua vya watu vinaficha mambo mengi sana, kwahivyo asingefariki ungeendelea kupiga kimya?InnaLILLAHI...
Kuna kipindi alikuwa anatembea na mama moja lipo pale kwa OMR alishaunguaga yule dada nilijua jamaa hatotoka salama maana wengi waliopita pale waliondoka
Apumzike kwa amani..!