TANZIA Mtangazaji Mukhsin Mambo alias MC Hammer afariki dunia nyumbani kwake Marekani

InnaLILLAHI...
Kuna kipindi alikuwa anatembea na mama moja lipo pale kwa OMR alishaunguaga yule dada nilijua jamaa hatotoka salama maana wengi waliopita pale waliondoka
Last week nilimuona PJ maeneo karibu na KAMANGA amedhoof na anatembea kwa kujificha ficha...... muda mwingi ametazama Chini. nini shida Jamani kwa Watangazaji wetu?
 
Last week nilimuona PJ maeneo karibu na KAMANGA amedhoof na anatembea kwa kujificha ficha...... muda mwingi ametazama Chini. nini shida Jamani kwa Watangazaji wetu?
Hivj pj ashawahi nenepa kweli!? Na mbona kama siku hizi huwa na kipindi cha live kwa tv? Au huwa wana fanya editing!?!?
 
Last week nilimuona PJ maeneo karibu na KAMANGA amedhoof na anatembea kwa kujificha ficha...... muda mwingi ametazama Chini. nini shida Jamani kwa Watangazaji wetu?
pj huyu wa mawingu Fm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…