MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Kutoka EATV facebook wall,
Kwa mara nyingine tumebarikiwa kusherehekea siku ya kuzaliwa ya mfanyakazi mwenzetu mwenye umri mrefu zaidi hapa ofisini. Jina lake halisi ni Emsly Smith maarufu kama Baba T.
Baba T ni Dj wa muziki wa Reggae na pia ni mtangazaji wa kipindi cha 'Lovers Rock' cha East Africa Radio. Leo ametimiza miaka 81 na bado ana nguvu kama unavyomuona kwenye picha.
Baba T ni mtu mwenye upendo kwa kila mmoja, kila siku asubuhi anapofika ofisini huwagawia wafanyakazi wa kike wote biskuti za chocolate, na wanaume huwa anawapa vipande vya nazi.
Happy Birthday Baba T. Live long Rasta Man.
My take:
Kiukweli nimemfahamu Baba T miaka mingi kidogo nikiwa mfatiliaji wa vipindi vya burudani enzi hizo lakini sikuwahi ku note his age. Nimeshtuka mno kama kwenye media, tasnia ya utangazaji, na kama DJ wa muziki wa raggae Baba T anatimiza miaka 81 akiwa bado active kwenye industry alafu ni kama wadau wa media na entertainment wanachukulia poa mno. Hata hii birthday yake inapita kirahisi mno
Watanzania tujifunze kukubali vyetu! Tunahitaji kuonesha heshima na appreciation kwa huyu mzee akiwa hai. Wadau wa media na burudani kama mnapita hapa ...please tumuenzi huyu mzee
Happy birthday Baba T
Kwa mara nyingine tumebarikiwa kusherehekea siku ya kuzaliwa ya mfanyakazi mwenzetu mwenye umri mrefu zaidi hapa ofisini. Jina lake halisi ni Emsly Smith maarufu kama Baba T.
Baba T ni Dj wa muziki wa Reggae na pia ni mtangazaji wa kipindi cha 'Lovers Rock' cha East Africa Radio. Leo ametimiza miaka 81 na bado ana nguvu kama unavyomuona kwenye picha.
Baba T ni mtu mwenye upendo kwa kila mmoja, kila siku asubuhi anapofika ofisini huwagawia wafanyakazi wa kike wote biskuti za chocolate, na wanaume huwa anawapa vipande vya nazi.
Happy Birthday Baba T. Live long Rasta Man.
My take:
Kiukweli nimemfahamu Baba T miaka mingi kidogo nikiwa mfatiliaji wa vipindi vya burudani enzi hizo lakini sikuwahi ku note his age. Nimeshtuka mno kama kwenye media, tasnia ya utangazaji, na kama DJ wa muziki wa raggae Baba T anatimiza miaka 81 akiwa bado active kwenye industry alafu ni kama wadau wa media na entertainment wanachukulia poa mno. Hata hii birthday yake inapita kirahisi mno
Watanzania tujifunze kukubali vyetu! Tunahitaji kuonesha heshima na appreciation kwa huyu mzee akiwa hai. Wadau wa media na burudani kama mnapita hapa ...please tumuenzi huyu mzee
Happy birthday Baba T