babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Analytiska sana kujulikana sijui hata huwa anaandika nini maana sisomi upuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wapumbavu huzeeka.Inafikirisha Sana kwanini anakuwa hivyo mtu mwenye age 40+ anabidi kuwa na hekima na MAARIFA
Sema ndo hivyo unaweza unfollow page zake
Kwani hao watoto hivyo vitu hawana?Ni sawa na mtaani kuna kichaa anatembea uchi kila siku useme suluhisho ni kufunga macho yeye aendelee kuwa uchi, huo mtaa utashuka hadhi na watoto wataviona wasivyotakiwa kuviona.
fikiri nje ya box kwa jicho la jamii.
Ig, eti ni mtangazaji...kweli?Ni pages zipi anaandika hizi mambo? X au IG?
Huwa anaandikia wapi
Umri namba tuInafikirisha Sana kwanini anakuwa hivyo mtu mwenye age 40+ anabidi kuwa na hekima na MAARIFA
Sema ndo hivyo unaweza unfollow page zake
Mpuuzie