mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Au ndio hawa wazee wa hovyo ambao walikuwa vijana wa hovyo ,Inafikirisha Sana kwanini anakuwa hivyo mtu mwenye age 40+ anabidi kuwa na hekima na MAARIFA
Sema ndo hivyo unaweza unfollow page zake
Anafanya vitendo vya kushawishi ngono zembe ,ila yeye anafanya kuchukulia kama utani












