Mtangazaji Paul James 'PJ' arejea Clouds FM

Mtangazaji Paul James 'PJ' arejea Clouds FM

Zembwela sio mtangazaji, ni muongeaji kwenye radio, nikama hao kina gigy money sijui na kida Idrisa na wengine wanao fanania hivyo, utangazaji ni fani lazima ukasomee. utangazaji ni fani kama udakitari na ualimu, kuna ethics zake, kufanya kazi kwenye kituo cha habari hakikufanyi kuwa mwanahabari. Kama kuna mtu ameingia kwenye field ya habari kutokana na umashuhuri wake au namna yoyote kisha akaona kuna future ndani ya habari, inabidin afanye maarifa ili aingie darasani kusomea hiyo kazi.
Oooh ok nashukuru kwa kunielewesha mkuu
 
Ipo haja ya kuboreshwa radio nyingine pamoja na kutoa promote wanamuziki sababu wakati mwengine radio 1 tu kama clouds kumsusia mwanamuziki na kufeli moja kwa moja haijakaa sawa.
Fursa za kuanzisha redio nyingine zenye ushindani inabidi iongezeke ili ushindani usiwe upande mmoja.
 
wengine wala hatuna habari na kusikiiza redio, hizo jahazi sijui ubaoni wala sijui zunahusu nini, tv tu kazi kuangalia.
pampja na hayo ni vyema watu waheshimu taaluma ya utangazaji, sio ilimradi tu mtu anafahamika basi anafaaa kuwa mtangazaji, ndio maana watu wanasomea hii kitu.
Hizi redio ziliishakuwa fujofujo ndio maana wengine tuliishaacha kusikiliza tufanye mambo ya msingi
 
Niliwahi kumsikia Joseph Kusaga anasema yeye kwenye Ajira zake za Utangazaji huwa haangalii suala la Elimu anachokiangalia ni kipaji chako hata kama umeishi la Saba.

Naamini ndio ukweli wenyewe na wengi wameamua kufuata mtindo huo wa kuangalia vipaji zaidi na sio Elimu, ndio maana tunawasikia Wakina Mpoki, Zembwela, Gigy money japo sijui huyu waliangalia kigezo gani n.k

Wameona kwa wenzao wakenya na wao wanaangalia Kipaji zaidi kuliko elimu ndio maana Redio zao nyingi zimejaa wachekeshaji.


Ubaya wetu tumebaki kuwaangalia wale wale tu na hivyo tunakuwa kama tunawagombania badala ya kuibua hawa ambao wana elimu lakini pia wana kipaji ambao wamekosa watu wa kuwashika mkono.
Huwezi mchanganya zembwela na hao waganga njaa
 
Ipo haja ya kuboreshwa radio nyingine pamoja na kutoa promote wanamuziki sababu wakati mwengine radio 1 tu kama clouds kumsusia mwanamuziki na kufeli moja kwa moja haijakaa sawa.
Fursa za kuanzisha redio nyingine zenye ushindani inabidi iongezeke ili ushindani usiwe upande mmoja.
Dah mkubwa fella, babu talle wanauhusiano mkubwa na hao unaowataja na ukitaka kutoboa inabidi uwapigie magoti sio vizuri,wasanii wanakosa uthubutu
 
Yawezekana ni ushamba wangu au umri, binafsi baadhi ya vipindi vingi vya Clouds FM sioni maudhui yake na faida chanya za kuijenga jamii yetu na kwa maendeleo ya taifa. Nadhani wangepewa nafasi ya kupromoti sanaa tuu, vingine waachie wengine
Hata mimi naona hivyo, vipindi vingi havina maudhui, lakini wanasema ukiona hivyo ujuwe umri unakutupa mkono...
 
Daaa...wamerudi kweli clouds Fm...namsikia PJ saivi xxl

0404
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kituo cha redio cha Clouds kimeamua kumrudisha Paul James. PJ aliondoka Clouds fm mwezi wa 3 baada ya kumaliza mkataba wake.

PJ anakuja kukifufua kipindi cha Power Breakfast baada ya Kipanya na Fredwa kupwaya sana na kipindi kupoteza wasililozaji wengi.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kweli nimeamini mjini kuna fitna. Jamaa karudi.
 
Dah mkubwa fella, babu talle wanauhusiano mkubwa na hao unaowataja na ukitaka kutoboa inabidi uwapigie magoti sio vizuri,wasanii wanakosa uthubutu
Hata hawa kina fella, babu tale na sallam wanatakiwa kujenga misingi kwa maendeleo ya mziki wa Tanzania hasa kimataifa. Ili isitokee siku wakifulia/ kufariki watu waanze moja kutafuta channel za kimataifa. Kuna wasanii wengi wazuri wanatakiwa kufika level za kimataifa pia kuna mameneja wengi wazuri wanaohitaji soko la mataifa kuwasaidia waTz
 
Baada ya kuona wanapwaya katika kupeluz na kudadis hatimaye Clouds fm wameamua kumrudisha Paul James maana walikuwa wameyumba ila kwa mtazamo wang naona badoo pengo la Gerald Hando bado linaonekanaa
 
Back
Top Bottom