Mtangazaji Paul James 'PJ' arejea Clouds FM

Mtangazaji Paul James 'PJ' arejea Clouds FM

Hata mimi naona hivyo, vipindi vingi havina maudhui, lakini wanasema ukiona hivyo ujuwe umri unakutupa mkono...
Kuna radio nyingi kwa mfano mimi napenda ea radio hizo nyingine ni bahati kuzisikiliza
 
Yule mtangazaji nguri wa Radio Clouds Fm na alikuwa presenter wa PB leo arudi rasmi na kuachana na EFM .
 
  • Thanks
Reactions: Lee
6tag-726230563-1354336149711241404_726230563.jpg
6tag-726230563-1354336149711241404_726230563.jpg
 
Kituo cha redio cha Clouds kimeamua kumrudisha Paul James. PJ aliondoka Clouds fm mwezi wa 3 baada ya kumaliza mkataba wake.

PJ anakuja kukifufua kipindi cha Power Breakfast baada ya Kipanya na Fredwa kupwaya sana na kipindi kupoteza wasililozaji wengi.

Tuliambiwa walikuwa watovu wa nidhamu ndio maana hawakuongezwa mkataba
 
Sababu za kuondoka zipi?,..au ilikuwa mkataba WA muda mfupi na EFM?.
 
Kurudi kwake maana yake ni kwamba..... Ki[emoji193] na Fred hawaja jitosheleza...??
Nawaza tu
 
Zembwela sio mtangazaji, ni muongeaji kwenye radio, nikama hao kina gigy money sijui na kida Idrisa na wengine wanao fanania hivyo, utangazaji ni fani lazima ukasomee. utangazaji ni fani kama udakitari na ualimu, kuna ethics zake, kufanya kazi kwenye kituo cha habari hakikufanyi kuwa mwanahabari. Kama kuna mtu ameingia kwenye field ya habari kutokana na umashuhuri wake au namna yoyote kisha akaona kuna future ndani ya habari, inabidin afanye maarifa ili aingie darasani kusomea hiyo kazi.
Mkuu umenena vema. Ni kweli utangazaji ni taaluma( professional) kama zilivyo taaluma nyingine. Ndio watangazaji wa zamani kama Tido Muhando, Betty Mkwasa, Julius Nyaisanga(R.I.P), Charlea Hilal, Shabani Kisu, Mahamud Mikidad, Sarah Dumba na wengineo wengi walikuwa wana ladha ya kipekee ukiwasikiliza tofauti na wasasa. Hawa wa sasa ni ma MC
 
huu mchezo unahitaji hasiraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
welcome back Pol bebe
 
PJ sio mtu wa mchezo mchezo.... Anajua sana kumuacha aende mazima ni pengo kubwa.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom