Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Taratibu mkuu.Washenzi hao hawakuwa na uzalendo Leo hii wanatupwa kama mizoga tu kikeke ni shoga huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu mkuu.Washenzi hao hawakuwa na uzalendo Leo hii wanatupwa kama mizoga tu kikeke ni shoga huyo
From BBC to Radio Iman.. samaleko ostadh?Hii radio mishahara yaweza kuwa laki tatu au nne, Salim Kikeke hamuwezi kumlipa, labda mkauze viwanja.
We hujielewi kabisa. Yaani aondoke kwa hiari yake BBC kwa lengo la kuja kufanya kazi AZAM MEDIA? Si kweli. Hilo sio lengo, chunguza tena!Wakuu mpo poa?
Kwa habari za ndani kabisa kutoka Azama Media, zinadai Mtangazaji Salim Kikeke wa BBC ameomba kustaafu.
Lengo lake kuu ni kurejea Tanzania kufanya kazi na Azam Media.
Mkuu mbona haumshauri Domo kaya aajiri wahitimu wapya amabo hawajui kutofautisha "R" na "L"?Sasa kastaafu si arudi afanye mambo ingine kufuga kuku,kulima maboga na matikitimaji.
Anarudi awe meneja azam kwanini?
Hawa vijana wahitimu chuo huko wafanye kazi gani sasa na wamejaa mitaani.
Kuna ujinga mwingi sana bongo.
Mkuu,tujuze wewe ambaye umesha chunguza tayari kwa unachokijua kuhusu Kikeke kuondoka BBCWe hujielewi kabisa. Yaani aondoke kwa hiari yake BBC kwa lengo la kuja kufanya kazi AZAM MEDIA? Si kweli. Hilo sio lengo, chunguza tena!
Ni jambo jema.
Kuna sababu zozote zimetolewa au zinahisiwa?BBC wamesema wamesitisha mikataba watangazaji 5 wa dira ya dunia .....pia idhaa kiswahili inarudi Nairobi sio London tena ....kwa hiyo kule kibarua kimeota nyasi acha arudi apate kazi Bongo siku zisogee
Hapana, haikuwa hivyo tangu awaliSiyo TBC tena?
Kutangaza siyo kuongoza
Alafu pia acha wivuSiyo TBC tena?
Kutangaza siyo kuongoza
Kwani mimi ni mtangazaji?Alafu pia acha wivu
inatuhusu? Dogo katafute kazi ya kufanya.Wakuu mpo poa?
Kwa habari za ndani kabisa kutoka Azama Media, zinadai Mtangazaji Salim Kikeke wa BBC ameomba kustaafu.
Lengo lake kuu ni kurejea Tanzania kufanya kazi na Azam Media.
Wewe unaudharau ukurugenzi wa Azam, IPP, TBC? Ni vyombo vya ndani Ila malipo mazuri Sana.We hujielewi kabisa. Yaani aondoke kwa hiari yake BBC kwa lengo la kuja kufanya kazi AZAM MEDIA? Si kweli. Hilo sio lengo, chunguza tena!
Kauli yako uliyoitoa kwenye comment, Kama vile hupendi mafanikio ya watu.Kwani mimi ni mtangazaji?
Eti ni kweli kuwa katika viwango vya CAF hili shirikisho ni sawa na Ndondo cup kwa TFF?
Nimeuliza tuu sio kwa ubaya?
Mbona Charles alitokaga BBC akaenda Azam!We hujielewi kabisa. Yaani aondoke kwa hiari yake BBC kwa lengo la kuja kufanya kazi AZAM MEDIA? Si kweli. Hilo sio lengo, chunguza tena!
Mafanikio unayajua bwashee?Kauli yako uliyoitoa kwenye comment, Kama vile hupendi mafanikio ya watu.