Tetesi: Mtangazaji Salim Kikeke anarudi nyumbani Kuwa Mkurugenzi Azam Media

Amerejea wakati muafaka, fursa ni nyingi, aende Azam chaguo ni lake, mengine Mama ataamua.
Kwani BBC ni taasisi ya serikali Tz, kumhusisha na teuzi za serikali sioni sawa, wapo watu kibao na mahiri hapa nchini.Au nyie mnafananisha kazi za ofisini na mchezaji wa mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…