Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani unamaanisha John DilingaPana Mtangazaji mmoja alikua anatangaza Mwanza nae alifariki Mbeya simkubuki jina alikua anaweza kutangaza kikosi cha Tipso wa lindanda akiwa anawaona wanatroti tu wenyewe walikua wanasema naona Wachezaji wanapasha misuri joto pale au wanapiga njalamba pale...
Hawa miamba wameitumikia Tasinia ya Habari ipasavyo.Ahmed Jongo
Ezekiel Malongo
Halima Mchuka
Sued Mwinyi
Mlifanya matangazo ya mpira na kioinfi cha michezo RTD kuwa moto sana!!
Nazeeka sasa
Pumzikeni kwa amani Ma-Legend
Dominic ChilamboNadhani unamaanisha John Dilinga
Dominic Chilambo.Pana Mtangazaji mmoja alikua anatangaza Mwanza nae alifariki Mbeya simkubuki jina alikua anaweza kutangaza kikosi cha Tipso wa lindanda akiwa anawaona wanatroti tu wenyewe walikua wanasema naona Wachezaji wanapasha misuri joto pale au wanapiga njalamba pale...
MaclowNadhani unamaanisha John Dilinga
Labda Dinah MariosDominic Chilambo
Siyo Zembwela kweli.Maclow
Yap ni Mzee Chilambo ila alifariki siku chache mbele baada ya kutangaza mechi ya Yanga vs Simba zilichezea Mbeya na ni kweli kipindi cha michezo tulisikiliza sauti yake kwa mara ya mwisho kwa mechi hiyo na nakumbuka maana nilikuwepo Uwanja wa Sokoine pale...kabla haya maandishi ya Mwalimu JK hawajafuta..Dominic Chilambo.
Alifariki akiwa anatangaza mpira kati ya Tukuyu Star vs Yanga/Simba.
Kipindi cha michezo saa moja na nusu RTD Halima Mchuka akatangaza kifo chake kwa masikitiko makubwa sana akiwa ameweka wimbo flani hivi na kisha kuweka sauti ya mwisho ya Chilambo akiwa anatangaza hiyo match.
Wewe ni dokta wa mchongo? Hujui sehemu ya kupatia maarifa uyatakayo ndugu?Amen.
Mkuu nahitaji ABC kuhusu CBO na NGO nitumie hata e-mail nikutafute.
Wewe ni dokta wa mchongo? Hujui sehemu ya kupatia maarifa uyatakayo ndugu?
RIP Sued Mwinyi. Kwani bad alikuwa hajastaafu?Taarifa inayosambaa mitandaoni inaeleza kwamba, Mtangazaji wa TBC, Sued Mwinyi amefikwa na Umauti leo, kwenye Hospitali ya Mloganzila ambako alilazwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Apumzike kwa Amani
View attachment 2988858
Wengi wakienda ni parapandaWahuni wanaiita Machinjio
RIP Sued Mwinyi. Kwani bad alikuwa hajastaafu?
Hili ndio swali ambalo hata mimi najiuliza kwani ni miaka mingi sana kiwa yeye kuendelee kuwa kazini.RIP Sued Mwinyi. Kwani bad alikuwa hajastaafu?
asante kwa taarifa hiiTaarifa inayosambaa mitandaoni inaeleza kwamba, Mtangazaji wa TBC, Sued Mwinyi amefikwa na Umauti leo, kwenye Hospitali ya Mloganzila ambako alilazwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Apumzike kwa Amani
View attachment 2988858
Pumzika kwa amaniTaarifa inayosambaa mitandaoni inaeleza kwamba, Mtangazaji wa TBC, Sued Mwinyi amefikwa na Umauti leo, kwenye Hospitali ya Mloganzila ambako alilazwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Apumzike kwa Amani
View attachment 2988858