Mtangazaji wa Clouds alalamikia kutishiwa na Haji Manara

Mtangazaji wa Clouds alalamikia kutishiwa na Haji Manara

Manara kichwani ni dhaifu sana. Kadri anavyo ongeasana ndipo udhaifu wake unavyo zidi kuji pambanua.
 
Watajuana wao wenyewe bhana, huenda wana migogoro binafsi, sie hatuhusiki.
 
Muulixa swali alikuwa sahihi na Manara analijuwa Hilo ndiyo maana alipaniki
 
Maswali ya technical unamuuliza Haji??

Haji kazi yake ni PR angemuuliza maswali ya kishabiki zaidi...

Hii phase ya kina Haji na Jerry Muro kufanya press conference badala ya makocha na wachezaji itaisha soon...
Jerry muro kafanya wapi press ya Yanga kabla ya kocha.

Yaani ujinga wa Simba unataka kuuhalalisha kupitia Yanga.

Yanga ilishaachaga huo upumbavu muda mrefu.
 
Kwani angejibu ni kweli Yanga wamekuwa na matokeo mazuri kidogo katika mechi 3 za mwisho lakini sisi tunajuwa ni bora kuliko Yanga kwa kuwa tunategemea kuwa mabingwa mara 4 mfululizo hata JKT Ruvu wamekuwa wanatusumbua kidogo lakini haiwafanyi wao kuwa bora na sisi tumejipanga kuwaonesha nani bora Jumamosi kuwafunga na kuifanya sherehe ya ubingwa kunoga zaidi kwa kwa kuwafunga Yanga. Mechi zilizopita hazina ushawishi tena ni wiki hii kuwafunga na kuwaweka sehemu wanayostahili. Haya majibu tosha kabisa..
mmmmmhh ile kichwa ndiyo iwe na takrima kujibu majibu kama haya.

pale naona imejaa misemo ya kikorohani korohani na uswahili mtupu.
 
angejaribu kunifuata mimi kama ndio ningekuwa mwandishi
Ningempa kerbu moja huyo mwarabu wa ngoruka
 
Back
Top Bottom