Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmmhHilo jinga linajua kuropoka tu kichwani zero brain. Mikelele mingi huku linawekwa mjini na vijana wa mjini.
Jinga sana na sura yake kama ana*unya.
Tulia dawa ikuingieSo what!nenda kafungue jarida polisi,Kutishiwa maisha ni kosa la jinai
Jerry muro kafanya wapi press ya Yanga kabla ya kocha.Maswali ya technical unamuuliza Haji??
Haji kazi yake ni PR angemuuliza maswali ya kishabiki zaidi...
Hii phase ya kina Haji na Jerry Muro kufanya press conference badala ya makocha na wachezaji itaisha soon...
mmmmmhh ile kichwa ndiyo iwe na takrima kujibu majibu kama haya.Kwani angejibu ni kweli Yanga wamekuwa na matokeo mazuri kidogo katika mechi 3 za mwisho lakini sisi tunajuwa ni bora kuliko Yanga kwa kuwa tunategemea kuwa mabingwa mara 4 mfululizo hata JKT Ruvu wamekuwa wanatusumbua kidogo lakini haiwafanyi wao kuwa bora na sisi tumejipanga kuwaonesha nani bora Jumamosi kuwafunga na kuifanya sherehe ya ubingwa kunoga zaidi kwa kwa kuwafunga Yanga. Mechi zilizopita hazina ushawishi tena ni wiki hii kuwafunga na kuwaweka sehemu wanayostahili. Haya majibu tosha kabisa..
Kaulizwa nn ?Manara kaulizwa swali gumu sana. Hata ningekuwa mm simba ningepata kuweweseka kulijibu.