rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hii sio mara ya kwanza, huyu mwandishi Haji alishamwambia asiwe anahudhuria press zake na ndiye sababu iliyomfanya Haji aite waandishi takataka ni kiandishi shabiki cha upotolo kinaqjifanya kinajua sana acha kinyooshwe.